[/LEFT]
Unajua CCM walidhani ni lelemama, sasa subili yanayo kuja! Yaani mungu atunusuru. Kama sasa ni amri za siku za kuhesabika, Sijui, sijui tunako enda!
Hivi Waislamu hawawezi kuanzisha Mahakama ya Kadhi mpaka serikali iseme ni lini? Mbona wakitaka kumchagua sheikh au kujenga msikiti hawasubiri tamko la serikali?