Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Kuna mtu anatukana kama Sugu?
Hmmm.....mnazungumzia matusi, sio?
Haya hapa sijui ni nini...kuanzia dakika ya pili
Wewe ndio umesikia hayo matusi labda ungetuelezea walikuwa wanasemaje kwanza ndio tungejua pumba na mchele.
Kiss FM kwa uhakika!
Kwanini kejeli za clouds zinakua regarded as matusi ilihali bwana sugu katoa album nzima ya matusi?...kwanza huu mvutano unatupeleka wapi,kwanini watu tuhamishe tention zetu kwenye mambo yanayomatter na kucocentrate kwa mambo yasiyo na mashiko? why!
Jana asubuhi kwenye kipindi chao hawa jamaa walimshambulia sana bwana Sugu tena maneno makali na kashfa .Je nawe uliyasikia kama mimi ?Unadhani ule ni uungwana ? Kwa nini watumie muda wa takribani dakika 12 kumsema Sugu pekee na tamasha lake ?Kuna mjuvi hapa atumwagie ?
Jana asubuhi kwenye kipindi chao hawa jamaa walimshambulia sana bwana Sugu tena maneno makali na kashfa .Je nawe uliyasikia kama mimi ?Unadhani ule ni uungwana ? Kwa nini watumie muda wa takribani dakika 12 kumsema Sugu pekee na tamasha lake ?Kuna mjuvi hapa atumwagie ?
Jana asubuhi kwenye kipindi chao hawa jamaa walimshambulia sana bwana Sugu tena maneno makali na kashfa .Je nawe uliyasikia kama mimi ?Unadhani ule ni uungwana ? Kwa nini watumie muda wa takribani dakika 12 kumsema Sugu pekee na tamasha lake ?Kuna mjuvi hapa atumwagie ?
Aisee hii redio haiwezi kufa. Nafikiri ndio redio inayofanya vizuri Tanzania kwa sasa. Huyu Sugu ni mfa maji tu. Tusiwe wajinga matatizo yake binafsi na clouds asiyahamishie na kweruMfa maji haachi kutapatapa, Clouds is dying slowly
Aisee hii redio haiwezi kufa. Nafikiri ndio redio inayofanya vizuri Tanzania kwa sasa. Huyu Sugu ni mfa maji tu. Tusiwe wajinga matatizo yake binafsi na clouds asiyahamishie na kweru
Kwanini kejeli za clouds zinakua regarded as matusi ilihali bwana sugu katoa album nzima ya matusi?...kwanza huu mvutano unatupeleka wapi,kwanini watu tuhamishe tention zetu kwenye mambo yanayomatter na kucocentrate kwa mambo yasiyo na mashiko? why!
Hmmm.....mnazungumzia matusi, sio?
Haya hapa sijui ni nini...kuanzia dakika ya pili
Kwanini kejeli za clouds zinakua regarded as matusi ilihali bwana sugu katoa album nzima ya matusi?...kwanza huu mvutano unatupeleka wapi,kwanini watu tuhamishe tention zetu kwenye mambo yanayomatter na kucocentrate kwa mambo yasiyo na mashiko? why!