Uliyasikia matusi ya clouds FM jana? Unayakubali?

Kama kitu hujui sio lazima uchangie, dili ya marelia ilikuwa ni mwaka jana, swali kwako sasa je Sugu ameanza hizi harakati za kupinga unyonyaji mwaka jana. usiongee kama upo kwenye maliwato.

Kwa hiyo umefurahi kutukana siyo!! Hongera kwa kujifurahisha! but u dont have a quality be qualify as jf senior exp member.
 
watu wenye ufahamu finyu kama huyu naomba muwasamehe bure maana hawajui walisemalo, maana huyu bwana anauaminisha umma wa JF kwamba Sugu na wenzake sio wasanii hivyo hawapaswi kulalamika.

ni kweli kabisa Matola!
 
Dah!Mkuu huna hata huruma kwa Watz wenzako?Iko siku watakua na uelewa,acha SUGU azidi kuwaelimisha.Tatizo wanaendekeza saana njaa na vi tamaa vya kifalafala..Hawawezi kukomaa kama kina Mkoloni,mapacha etc.

Huruma ninayo sana kaka lakini kama anatokea mtu anajaribu kuwatete halafu wao hawaonyeshi ushirikiano huruma hiyo ina maana tena? wao wanatakiwa kusimamia haki zao kwa ku unit wakikubali kuparaganyishwa basiii huruma yangu kwao ni unafiki. Mpaka sasa hawana chama chao ambacho ni strong! hali hii ruge anaijua Clounds Int. wanaijua na ndiyo wanaitumia kujinufaisha na wataendelea kuneemeka iwapo tu hali itaendelea otherwise they have to wake up!
 
Nakustahi bwana mdogo,sio tabia yangu kukinzana na wapuuzi...huna mamlaka yoyote katika chombo chochote kunilazimisha nikubaliane na upuuzi...Kwamba Sugu alitukana liko wazi...pitia post zangu na kisha ujilinganishe halafu ujue ni nani anastahili kujiunga FB. Hatulingani hata chembe,wewe na wenzako wengi ndiyo kila kukicha mnadandia mitandao pasi kusoma terms zake vyema na kuishia kuwapotezea watu tempa zao!

Acha kujifanya una hasira,jibu hoja acha kujificha kwenye kichaka cha hasira kama escape mechanism..wewe ni nani watu wasikuchane?Eti "hatulingani hata chembe",so?Wewe nani hasa?Hoja ni dhana ya Vinega movement na matusi ya Hando kwenye chombo cha habari,jibu hoja acha hasira....ume-loose temper umeanza kuongea madudu,back to the hoja man.
 
Kuna msanii aliyelalamika kuwa ananyonywa? Kwanini wawe hao hao akina Sugu ndio wanalalamika? Ebu fungukeni wakuu
Analalamika kwa sababu yeye ni msanii na ni mbunge so anapata nafasi ya kuwawakilisha na kuwatetea wasanii wenzake hasa ukizingatia ni waziri kivuli wa swala husika.
Sugu ni shujaa wa ajabu anayewapigania watu wanaopinga maendeleo yao wenyewe.

 
Sidhani kama walitoa matusi ya moja kwa moja mpaka uwe na mtu mzuri wa kutafsiri vifumbo vya kwenye Taarab.:drum:

Waliongea sana kwa matusi na kumtaja Sugu mara nyingi na maneno kibao ya kudhalilisha ndiyo maana nikauliza did you like that ?
 
Analalamika kwa sababu yeye ni msanii na ni mbunge so anapata nafasi ya kuwawakilisha na kuwatetea wasanii wenzake hasa ukizingatia ni waziri kivuli wa swala husika.
Sugu ni shujaa wa ajabu anayewapigania watu wanaopinga maendeleo yao wenyewe.

Tusiongee tu kwa sababu tunajua kuongea. Tukubali tu kuwa Clouds ndio baba na wakuza muziki wa kizazi kipya.
Kumbuka kuwa miaka ya 90`s Sugu alisikika sana, lakini baada ya clouds kuingia na kuzira kucheza kazi zake, sugu alipotea kabisa kwenye game. Mpaka ikabidi atoe CD-Antivirus kuutukana uongozi wa Clouds na watangazaji wake. Hapa ndio nilimuona Sugu kama punguani cuz matusi aliyoyaimba yalikuwa yanaizalilisha fani ya muziki na yeye pia.
Sasa Sugu amepata ubunge kihuruma huruma, badala atumie njia zenye akili kama mbunge za negotiations, ananza kuendeleza tena vurugu.
 
Tusiongee tu kwa sababu tunajua kuongea. Tukubali tu kuwa Clouds ndio baba na wakuza muziki wa kizazi kipya.
Kumbuka kuwa miaka ya 90`s Sugu alisikika sana, lakini baada ya clouds kuingia na kuzira kucheza kazi zake, sugu alipotea kabisa kwenye game. Mpaka ikabidi atoe CD-Antivirus kuutukana uongozi wa Clouds na watangazaji wake. Hapa ndio nilimuona Sugu kama punguani cuz matusi aliyoyaimba yalikuwa yanaizalilisha fani ya muziki na yeye pia.
Sasa Sugu amepata ubunge kihuruma huruma, badala atumie njia zenye akili kama mbunge za negotiations, ananza kuendeleza tena vurugu.
Clouds FM nibaba wa kukuza mziki na ni mnyonyaji mkubwa wa kazi za wasanii wa tanzania.
Walizira kucheza nyimbo zake coz Sugu alianza kudai haki yake inayonyonywa na Radio hii.
Clouds FM ni sawa na kuku anayetaga yai na kulidonoa yeye mwenyewe.

 
Tusiongee tu kwa sababu tunajua kuongea. Tukubali tu kuwa Clouds ndio baba na wakuza muziki wa kizazi kipya.
Kumbuka kuwa miaka ya 90`s Sugu alisikika sana, lakini baada ya clouds kuingia na kuzira kucheza kazi zake, sugu alipotea kabisa kwenye game. Mpaka ikabidi atoe CD-Antivirus kuutukana uongozi wa Clouds na watangazaji wake. Hapa ndio nilimuona Sugu kama punguani cuz matusi aliyoyaimba yalikuwa yanaizalilisha fani ya muziki na yeye pia.
Sasa Sugu amepata ubunge kihuruma huruma, badala atumie njia zenye akili kama mbunge za negotiations, ananza kuendeleza tena vurugu.

we na WAFU FM hamna tofaut huyo DMX mlietaka kumleta au huyo dada fablaz mwwenye lips tamu si ndo zao kuwaambia make mot..er f..kn noisy au kwa kua ni lugha ya mkoloni
 
]Kwanini kejeli za clouds zinakua regarded as matusi ilihali bwana sugu katoa album nzima ya matusi?.[/I]..kwanza huu mvutano unatupeleka wapi,kwanini watu tuhamishe tention zetu kwenye mambo yanayomatter na kucocentrate kwa mambo yasiyo na mashiko? why!

mkuu hapo kwenye RED ndio huwa siwaelewi kabisa hawa wafuasi wa vinega....
 
Sasa Sugu amepata ubunge kihuruma huruma, badala atumie njia zenye akili kama mbunge za negotiations, ananza kuendeleza tena vurugu.

Hizi chuki nyingine zimezidi. Eti amepata kihuruma huruma. Huyu alopata kihuruma ndo anatuliza vurugu za wananchi kwa diplomasia? Vurugu zilizowashinda mapolisi+jeshi? Zilowashinda mkuu wa wilaya na Kandoro?

Hebu amka wewe! Unaongea pumba. Si lazima upinge kila kitu.
 
duh, kama hao ndio wasanii basi jamii imekwisha, wanataka kuwaelimisha nini wanajamii kuhusiana na sanaa?
 
Kwanini kejeli za clouds zinakua regarded as matusi ilihali bwana sugu katoa album nzima ya matusi?...kwanza huu mvutano unatupeleka wapi,kwanini watu tuhamishe tention zetu kwenye mambo yanayomatter na kucocentrate kwa mambo yasiyo na mashiko? why!

wewe mimi nakufahamu, najua rafikizako kibao, nakujua pia unapo ishi,. lakini usiache hiyo redio ya wafu.
 
Hivi kweli kwa mtu makini tena yupo humu kwa wafikirivu wa hali ya juu bado unasikiliza hiyo redio ya vilaza na wabinafsi?.
 
Mh.Joseph Mbilinyi...so far hongera kwa kazi nzuri na endelea kufanya kazi yako ya uwakilishi vema,...unaonaje kama ukianzisha redio stesheni yako na uachane na Ruge et al?...
 
Back
Top Bottom