Chaggabeibe
JF-Expert Member
- May 26, 2016
- 246
- 339
Unaroho mgumu,Mimi kuna mmoja uliomba laki tatu nikaupatia, baada ya siku tatu nikapata msiba ikabini nisafiri kwenda msibani huko mkoani. Nikaufahamisha kuwa nimefiwa nasafiri kwenda mkoani. Nikiwa huko mkoani, eti unataka ela ya kusuka elfu 50. Jibu nilompatia hatakaa asahau, pamoja nikamtumia elfu 3 akanyoe nywele.