Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,107
- 2,506
Kwanini?Mm sitaki madem wasioomba mshiko nawapenda wanaoomba
Kwanini?Mm sitaki madem wasioomba mshiko nawapenda wanaoomba
Aisee,chopeko na mnofu, ifakara,malinyi au mngeta?Vicheche na mizinga ni kama CHOPEKO na MNOFU
Ni wachache sana hawataki, usawa wa uchumi huu wa sasa, hawapati pesa kama zamani, nidhamu ya matumizi ya pesa yanaanza kupanda kidogo kidogoHivi kuna mchepuko ambao hautaki pesa Dar hii?