Ulishawahi kujutia mchepuko?

Ha ha ha nyie hamfui dafu kwangu, nlipata kitoto kidogo kama cha 17yrs hivi kikali balaa nikakitia mara moja bila ndomu asubuhi ananipigia simu ana mimba na hataki kutolea sehemu yoyote zaidi ya aghakhan na ni sh. 1m tena kwa kompyuta
Hata umri kalikudanganya
 
Mbaya zaidi,unaweza kutumia nguvu nyingi kuupata mchepuko na kuuhudumia sana lakini penzi ulilolitarajia hulipati na unakuta hana sanaa yoyote chumbani na kitu pekee kizuri alichonacho na anachoringia na kukusumbulia pia ni sura bomba,figure nzuri na mashauzi ya kuiga.
Inaboa sana.
 
Nilikuwa na kamoja bahati mbaya nikatumbuliwa na wife si mnajua tena mambo ya digital age hayasahau kitu usipokuwa makini. Nilipokaelezea nimetumbuliwa na wife wala hakakushtuka eti ajali kazini mambo yaendelee kama kawaida duh ilibidi nitoke mita nikabadilisha na namba ya simu.
Hahahahaha! Kha! Ulikutana na shujaa wa makamanda wa uchepukaji. Eti ajali kazini,mambo yaendelee kama kawaida.
 
Nakumbuka bana kipind nipo chuo dar nikapataga kimchepuko kipindicho Mr yupo Arusha sasa bana yule mchepuko akawa habanduki na mimi asbh kanipitia kwenda chuo jion kanichukua kurud nyumban atahakikisha anaondoka saa tano za usiku ikiwa weekend ndio kabisa naunganisha home kwake mpka j2 mda wa kuongea na Mr hata sina siku iyo tunagombana ananambia nichague nimuache Mr au na yeye awe na mchepuko heee katikati ya bonge la ugomvi Mr si akawa anapiga simu akaipora akapokea saa iyo inaenda saa tano za usiku me presha nakwambia nikajidai kuzimia maana nilihisi kufa hahaha nikikumbuka nacheka sana aisee

Basi Mr anasikia simu kapokea mwanaume ikabidi amuulize wewe nani unapokea simu ya mke wangu akajiadai eti mke wako kazimia njian alikuwa anatokea chuo me msamaria nampa msaada hapa nimemleta dispensary mimi huku ndio kamoyo kakapoa ila nikajidai nimezimiaa mwanzo mwisho mpka kampigia rafiki yangu kuja ndio nikajidai naendelea vizur yeye akaenda akatuacha

Uzur Mr wangu hakuelewa chezo maana pia ilikuwa kipind cha karibu na mitihan so nakuwa chuo mpka saa nne kudiscuss akanipa tu pole weekend yake akaja kuniona loo toka siku iyoo stakii habar ya michepuko pilipili khaaa kaka alitaka kunitoa uhai yule
Nimeipenda hii yakoo.. Hatari sana...
 
Kuna kamchepuko nilikua nako muda mfupi tu ila shughuli yake si ya kitoto nimepiga mzigo mara moja nikapigwa kizinga cha 400,000/= nikachomoa

Ikaja suala la ada nimkopeshe 600,000/=
Nikachomoa

Ikaja 150,000/= sijui ilikua ya simu nikatosa haijaenda mwezi nikapigwa 50,000/= nikatosa nikaletewa cha hela ya kula chuo kila siku 10,000/= nikamwambia majukumu ya baba na mama yake asilete kwangu ikawa game over.

Usipime unaweza jikuta unasomesha hivi hivi
 
Ha haaa wewe noma,kuzimia ikawa pona yako
You are very bad woman..
Nakumbuka bana kipind nipo chuo dar nikapataga kimchepuko kipindicho Mr yupo Arusha sasa bana yule mchepuko akawa habanduki na mimi asbh kanipitia kwenda chuo jion kanichukua kurud nyumban atahakikisha anaondoka saa tano za usiku ikiwa weekend ndio kabisa naunganisha home kwake mpka j2 mda wa kuongea na Mr hata sina siku iyo tunagombana ananambia nichague nimuache Mr au na yeye awe na mchepuko heee katikati ya bonge la ugomvi Mr si akawa anapiga simu akaipora akapokea saa iyo inaenda saa tano za usiku me presha nakwambia nikajidai kuzimia maana nilihisi kufa hahaha nikikumbuka nacheka sana aisee

Basi Mr anasikia simu kapokea mwanaume ikabidi amuulize wewe nani unapokea simu ya mke wangu akajiadai eti mke wako kazimia njian alikuwa anatokea chuo me msamaria nampa msaada hapa nimemleta dispensary mimi huku ndio kamoyo kakapoa ila nikajidai nimezimiaa mwanzo mwisho mpka kampigia rafiki yangu kuja ndio nikajidai naendelea vizur yeye akaenda akatuacha

Uzur Mr wangu hakuelewa chezo maana pia ilikuwa kipind cha karibu na mitihan so nakuwa chuo mpka saa nne kudiscuss akanipa tu pole weekend yake akaja kuniona loo toka siku iyoo stakii habar ya michepuko pilipili khaaa kaka alitaka kunitoa uhai yule
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom