bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
[QUOTE2. Unaanza kwanza kumpa ile starter alozoea ikisha katikati ya mlo unambadilishia na kumpa mlo ulioandaa- hapa hata nguvu za kuuliza sidhani kama zitakuwepo, tafata tu amri, kijiko kamata hivi, ntakamata; uma uweke pembeni, ntatii na kama kutakuwa na kuuliza ulikuwa wapi siku zote basi lazima itatanguliwa na aksante ikisha itaulizwa kwa nia njema na si kukukatisha tamaa.............nani aopenda mlo mzuri?[/QUOTE]
Nimekubali MJ1,
kweli utu uzima dawa.........lol....
Nimekubali MJ1,
kweli utu uzima dawa.........lol....