Habari za Asubuhi wanaJF.Nimekaa sana bila kuwakumbusha vitabu vya enzi hizo zilizokuw zimeandikwa kwa Mfano Mwanangu Pepe huna masikio,Awafu mwenye nguvu,Siku ya Gulio katelelo,Chopeko na Mnofu,Sizitak mbivu hizi,Mzee tola na familia yake,MwanaJF nazan asub hii nimekukubushia mbal sana.