nyangoma
Member
- Jan 11, 2010
- 71
- 23
Kinana kayataka mwenyewe haya bora angekaa kimya...Hapa hata mjinga huwezi mdanganya kirahisi kihiivyo
Ndo tatizo la kupeleka dili za kufoji Kinondoni mngeniletea mm niwafanyie kazi hapo Gerezani.
Kinana kayataka mwenyewe haya bora angekaa kimya...Hapa hata mjinga huwezi mdanganya kirahisi kihiivyo
Ndo tatizo la kupeleka dili za kufoji Kinondoni mngeniletea mm niwafanyie kazi hapo Gerezani.
Kinana kayataka mwenyewe haya bora angekaa kimya...
Lakini jamani, unawezaji kuruhusu ndege kuruka bila kulipwa, hii ni invoice na pamoja sio mtaalamu wa mahesabu ya fedha, sioni aliyeandikiwa. Na itakuwaje tarehe ya madai yawe ni siku ile ile ya kusafiria. Je viwango vya kukodisha vimepangwa na nani. Mtu mzima anapoamua kudanganya kwa kufoji virisiti na invoice tunaelekea pabaya. Nisingeweza kulala nikijua nimefoji kwa kiasi hicho. Kwa nini wasiseme ndio tumetoa ndege kwa Mama wa Taifa, sidhani Slaa angeweza kumpiku huku ndani ya mahakama. Hii ikienda mahakamani ni rahisi kumshinda!
Ni kweli Kinana kaonesha proforma invoice na sio receipt! Sasa inabidi atuonesha kila kitu - proforma invoice mpaka receipt. Halafu nyinyi waandishi wa habari mmekubali vipi kuwa hizo proforma invoices ni receipt? Kwa nini msimuulize na kumuonesha receipt ya serikali? Au na nyinyi hamjui tofauti? Halafy proforma imeandikwa 1st lady kwenye details badala ya service tu, yaani , plane hiring for say 10 hours. 1st lady maanake mke wa Rais, hivyo proforma invoice hizo zinahusiana na Ikulu! Na wewe Silva kwa nini usemi kitu wakati masaidizi wako alisema IKULU ina bajeti ya Salma kwenye shughuli za kiserikali, ni zipi hizi?
Kinachosikisha zaidi waTZ anaoweza kudadavua mambo kama haya wapo wachache sana,wengine wote wadanganyika hawaelewi hata maana ya invoice ni nini..
Namshukuru Dr. Slaa kwa uamuzi wake wa kumshaki Mama Salma Kikwete. Hilo limesaidia kufichua uozo mwingine tena wa hawa viongozi wa CCM. Wamezoea kufoji mno? Hawajazoea utawala wa kisheria. Kama hawangekuwa wamefoji, wala malipo hayangekuwa kwenye dola.
Hakuna msomi au accountant ataandika UDS 15,000/=. Hawachanganyi shilingi na dola. Hiyo no forgery ya watu hao hao wanaofoji documents za kuingiza meno ya tembo kwenye meli. Wamezoea.
This is not about Kikwete...I've said about this now and again kuwa CCM is a wrong party...hiki ni chama cha wanyan'ganyi, mabepari wanyonyaji...kura yako usiipe CCM na mgombea yeyote wa CCM, asilimia 50 ya watanzania wakifikia hapa basi hayo yote yatapunguwa kama si kwisha kabisa.
Nadhani Kinana amelewa madaraka na sasa hajui analolifanya, kutuonyesha risiti haitoshi - watueleze hizo gharama zinalipwa na nani? Mama Salma anatumia misafara ya magari ya Ikulu kwa bajeti ipi? Anapewa mapokezi ya viongozi wa serikali kwa gharama za walipa kodi, au hata hao anazo risiti za matumizi yao?
Wakuu tuache ushabiki lakini kwenye hili Kinana inabidi awajibike kwa kuwadanganya watanzania na possibly kufanya forgery. CCM need to immediately come clean on this..............
Inawezekana vp risiti (invoice) iliyotolewa tarehe 31/08/2010 ikawa na serial no. 00868727
na ile iliyotolewa tarehe 14/09/2010 ikawa na serial no. 00867609
:becky::becky::becky: hapo mzee wa meli amekosea kuchakachua sasa tusubiri swaiba wake aje amsaidia kubwatuka
Risiti za serikali karatasi zake ziwe na quality mbovu namna hiyo kama risiti unayopewa unaponunua kilo ya maharage, CCM wamebugi step huo ni uongo wa mchana kweupe.