Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Bwana Kinana hivi mapato yake yanaonekana kwenye vitabu vya CAG? Au ndio mradi wa watu binafsi? Hivi lengo lake ni kukodishwa tu? Hivi gharama za CCM za mgombea urais hazijazidi kweli? Ndege, helikopta tatu, Nuclear scientist, magari, malori na mabasi ya kubeba wasikilizaji?
Kwa kweli likizo hii ya X-mass nataka kuikodisha, jamani narudia tena kuomba utaratibu wa kuikodi na bei!