Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Wakuu,
Uhuru wa kutoa maoni umehakikishiwa na katiba katika ibara ya 18 kwa kila mtu bila kuathiri sheria za nchi. Kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa mawazo yake nje. Uhuru wa kutoa maoni hautakiwi kubaki kwenye makaratasi, badala yake watu wajisi kuwa huru na waweze kutoa maoni yao bila uoga.
Mtu anapotoa maoni yake huwezi kumpangia cha kusema, anachosema kinaweza kuwa kinyume na unachoamini, kukukasirisha au kupingana na wewe, ili mradi havunji sheria yoyote mtu huyo hatakiwi kuingiliwa kwenye uhuru wake wala kuminywa kutoa maoni yake.
Je, uko huru kusema mawazo yako?
Uhuru wa kutoa maoni umehakikishiwa na katiba katika ibara ya 18 kwa kila mtu bila kuathiri sheria za nchi. Kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa mawazo yake nje. Uhuru wa kutoa maoni hautakiwi kubaki kwenye makaratasi, badala yake watu wajisi kuwa huru na waweze kutoa maoni yao bila uoga.
Mtu anapotoa maoni yake huwezi kumpangia cha kusema, anachosema kinaweza kuwa kinyume na unachoamini, kukukasirisha au kupingana na wewe, ili mradi havunji sheria yoyote mtu huyo hatakiwi kuingiliwa kwenye uhuru wake wala kuminywa kutoa maoni yake.
Je, uko huru kusema mawazo yako?