Purple
JF-Expert Member
- Feb 9, 2012
- 2,027
- 935
- Thread starter
- #41
purple,nitakuwa nime-ku-miss-judge only if ktk mahusiano yako unafanya hayo niliyodhani hufanyi,then i say am sorry
kutumia simu,ni point isiyo na mashiko,wenzako tunatumia sana simu pengine kuliko wewe,lakini tukiona like zimeingia kama 10 tunatafuta pc,tunatupia japo ka-like kamoja kaku-balance tu mahusiano....kujali au ku-care is a two way action,kama mawasiliano!
kwa mara nyingine,samahani kama nimekukwaza,nilidhani nakusaidia maana niliona post yako imekaa kama personal experience!nikajua ushachokwa tayari!
hii thread haihusiani na maisha yangu binafsi ila ni hali inayoweza kumkuta mtu yoyote..huku niliko hata kwa jirani hakuna PC ndugu!