Ukiona hivi jua umechokwa!!

Ni kweli mkuu... lakini sio zote ... shughuli nyingi za maisha zinaweza kukufanya uends up kwenye moja ya hizo points... so be careful na ujiamini
 
nimegundua tatizo lako kuu Purple!wewe unapenda kupewa tuuu kutoa hutoi!ona hata hapa jf umepewa likes 207 lakini hujatoa hata like 1!this reflect your habits in your relationship!badilika sasa!anza sasa hivi kwa kugonga like post hii kisha ukirudi kwa mpenzio na wewe nenda katoe unayopenda kufanyiwa

Tena inaonekana ni mtu mwenye wivu (Purple) ndio maana hapendi kutoa Likes. Anza leo nilikua sijalitambua hili uungwana ni kupongezana. Huoni akina dada wakikutana tu anasikia umependeza hata kama kiunafiki.
 


>Wewe ongeza heshima na kumjali na kumuheshimu maradufu
>Jitahidi kumpigia na kumueleza mambo ya maana, na mahaba sio kumlahumu na zungumza nae kwa upole zaidi
>Sio kila wakati umwambie nakupenda, muoneshe upendo kwa vitendo
>Punguza kumuandikia misms mireeefu labda inamboa
>Ili aweze kukuamini jitahidi jambo utakalomwambia au unalotaka kulifanya uwe na uhakika na kulifanya kweli, (Punguza kuwa too much talking)
>Msisimko,Uchangamfu, Kukufuatilia Hivi vyote havitakuwepo ukikamilisha hayo yote.

bila shaka waliochokwa wamekuelewa
 
Ni kweli mkuu... lakini sio zote ... shughuli nyingi za maisha zinaweza kukufanya uends up kwenye moja ya hizo points... so be careful na ujiamini

ni kweli ndo mana hii sio formula ni tips tu!
 
Tena inaonekana ni mtu mwenye wivu (Purple) ndio maana hapendi kutoa Likes. Anza leo nilikua sijalitambua hili uungwana ni kupongezana. Huoni akina dada wakikutana tu anasikia umependeza hata kama kiunafiki.

natumia simu jamani kha!!
 
>atapunguza mahaba na wewe,sina maana ya ngono namaanisha mambo ya kimapenzi mfano kukujali,kukuheshimu na kukuthamini..
>anakua mgumu kupokea simu yako,hata akipokea hazungumzi maneno ya mahaba kama zamani..
>ukimwambia unampenda atakujibu asante tofauti na zamani..
>message zako hajibu hata akijibu itakua kwa mkato sana..
>anaonekana hana msisimko na wewe atakua mzito hata kuachia tabasamu akizungumza na wewe..
>hakuamini tena..
>hakufuatilii sana,mara nyingi anaonekana mwenye mawazo mengi akiwa na wewe..
>hafurahii anapokua na wewe hata uchangamfu wake unapungua..

Alaaa kumbee!!! Ahsante sana Purple kwa kunijuza
 
Last edited by a moderator:
Mc Tilly Chizenga kabla hujamjudge mtu jifunze kuuliza kwanza!natumia mobile version na kwenye simu hakuna kitufe cha like sasa kosa langu ni nini?

purple,nitakuwa nime-ku-miss-judge only if ktk mahusiano yako unafanya hayo niliyodhani hufanyi,then i say am sorry

kutumia simu,ni point isiyo na mashiko,wenzako tunatumia sana simu pengine kuliko wewe,lakini tukiona like zimeingia kama 10 tunatafuta pc,tunatupia japo ka-like kamoja kaku-balance tu mahusiano....kujali au ku-care is a two way action,kama mawasiliano!

kwa mara nyingine,samahani kama nimekukwaza,nilidhani nakusaidia maana niliona post yako imekaa kama personal experience!nikajua ushachokwa tayari!
 
Katiba ya jamhuri ya muungano yenyewe haijaliwi ndo itakuwa ya PetCash.....Cha kufanya bibie anzisha post ya nini cha kufanya ukishahisi umechokwa

oukey ukishaona hivyo usianze kumlaumu tafuta ulipokesea then rekebisha makosa yako little by little mambo yatarudi kwenye mstari..
 
>atapunguza mahaba na wewe,sina maana ya ngono namaanisha mambo ya kimapenzi mfano kukujali,kukuheshimu na kukuthamini..
>anakua mgumu kupokea simu yako,hata akipokea hazungumzi maneno ya mahaba kama zamani..
>ukimwambia unampenda atakujibu asante tofauti na zamani..
>message zako hajibu hata akijibu itakua kwa mkato sana..
>anaonekana hana msisimko na wewe atakua mzito hata kuachia tabasamu akizungumza na wewe..
>hakuamini tena..
>hakufuatilii sana,mara nyingi anaonekana mwenye mawazo mengi akiwa na wewe..
>hafurahii anapokua na wewe hata uchangamfu wake unapungua..

Tahadhari:

Haya yote haimaanishi hakupendi, anakupenda sana sema tu kachoka mambo yako yasiyovutia!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom