Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
thanx for a reminder! nimekupata!.....jikumbushe tu wewe ni no#1 priority and NOT an option....haitakuuma tena ukijitambua thamani yako. Usisubiri kutathminiwa.
worrrrrdddd!uko sawa maumivu ni muhimu haswa kama ulipenda lakini huna budi kumuacha aende hazina ya mapenzi kwako imekauka
nimegundua tatizo lako kuu Purple!wewe unapenda kupewa tuuu kutoa hutoi!ona hata hapa jf umepewa likes 207 lakini hujatoa hata like 1!this reflect your habits in your relationship!badilika sasa!anza sasa hivi kwa kugonga like post hii kisha ukirudi kwa mpenzio na wewe nenda katoe unayopenda kufanyiwa
>Wewe ongeza heshima na kumjali na kumuheshimu maradufu
>Jitahidi kumpigia na kumueleza mambo ya maana, na mahaba sio kumlahumu na zungumza nae kwa upole zaidi
>Sio kila wakati umwambie nakupenda, muoneshe upendo kwa vitendo
>Punguza kumuandikia misms mireeefu labda inamboa
>Ili aweze kukuamini jitahidi jambo utakalomwambia au unalotaka kulifanya uwe na uhakika na kulifanya kweli, (Punguza kuwa too much talking)
>Msisimko,Uchangamfu, Kukufuatilia Hivi vyote havitakuwepo ukikamilisha hayo yote.
>atapunguza mahaba na wewe,sina maana ya ngono namaanisha mambo ya kimapenzi mfano kukujali,kukuheshimu na kukuthamini..
>anakua mgumu kupokea simu yako,hata akipokea hazungumzi maneno ya mahaba kama zamani..
>ukimwambia unampenda atakujibu asante tofauti na zamani..
>message zako hajibu hata akijibu itakua kwa mkato sana..
>anaonekana hana msisimko na wewe atakua mzito hata kuachia tabasamu akizungumza na wewe..
>hakuamini tena..
>hakufuatilii sana,mara nyingi anaonekana mwenye mawazo mengi akiwa na wewe..
>hafurahii anapokua na wewe hata uchangamfu wake unapungua..
naunga miguu, mikono na mwili mzima hii ni kweli kabisaaaaaa bi!la chenga
Mc Tilly Chizenga kabla hujamjudge mtu jifunze kuuliza kwanza!natumia mobile version na kwenye simu hakuna kitufe cha like sasa kosa langu ni nini?
hahahaa poule!unda katiba mpya sasa..
Katiba ya jamhuri ya muungano yenyewe haijaliwi ndo itakuwa ya PetCash.....Cha kufanya bibie anzisha post ya nini cha kufanya ukishahisi umechokwa
>atapunguza mahaba na wewe,sina maana ya ngono namaanisha mambo ya kimapenzi mfano kukujali,kukuheshimu na kukuthamini..
>anakua mgumu kupokea simu yako,hata akipokea hazungumzi maneno ya mahaba kama zamani..
>ukimwambia unampenda atakujibu asante tofauti na zamani..
>message zako hajibu hata akijibu itakua kwa mkato sana..
>anaonekana hana msisimko na wewe atakua mzito hata kuachia tabasamu akizungumza na wewe..
>hakuamini tena..
>hakufuatilii sana,mara nyingi anaonekana mwenye mawazo mengi akiwa na wewe..
>hafurahii anapokua na wewe hata uchangamfu wake unapungua..