Ukimya wa CHADEMA na chama cha wananchi CUF kutokana na matukio yanayo endelea kutokea hapa nchini ni udhaifu mkubwa sana ktk kuonesha kama hawajali inasibitisha kuwa bado wachanga kwa maswala ya kitaifa.
Matukio kama kukojolewa kitabu kitukufu cha waislam ,viongozi kimya si chadema wala cuf. Kuchomwa kwa makanisa viongozi kimya si CHADEMA wala CUF.
Kuuawa kwa polisi zanzibar viongozi kimya si CHADEMA wala CUF. Kuwa kimya ktk matukio makubwa kama haya kunaonesha kutokuwa tayari kuwaongoza watanzania.
Pia ni ishara ya kukosa huruma huku wanapo kuwa na matukio yao ya kisiasa au kijamii huwataka wananchi kuwaunga mkono.
CCM wao wametoa tamko tuwewaona aibu ipo kwa CHADEMA na CUF, mbona kimya kulikoni?
Matukio kama kukojolewa kitabu kitukufu cha waislam ,viongozi kimya si chadema wala cuf. Kuchomwa kwa makanisa viongozi kimya si CHADEMA wala CUF.
Kuuawa kwa polisi zanzibar viongozi kimya si CHADEMA wala CUF. Kuwa kimya ktk matukio makubwa kama haya kunaonesha kutokuwa tayari kuwaongoza watanzania.
Pia ni ishara ya kukosa huruma huku wanapo kuwa na matukio yao ya kisiasa au kijamii huwataka wananchi kuwaunga mkono.
CCM wao wametoa tamko tuwewaona aibu ipo kwa CHADEMA na CUF, mbona kimya kulikoni?