Ukimya wa upinzani katika Matukio yanayotokea nchini, kulikoni?

ulitaka wafanye nini wakati
(i) mambo haya yako mahakamani majibu yanayotolewa kila siku na ccm.
(ii) haya ni mavuno ambayo ccm anavuna kwani aliyapanda wakati wa kampeni za uchaguzi
hivyo acha wavune mazao ili chakula hiki kitufae tusife watz.
(iii) serikali ya ccm kila siku inatuimbia kuwa inadumisha amani sasa suala dogo kama hili
sidhani inahitaji msaada wa kusemewa toka kambi za upinzani.
(iv) mbona kwenye M4C n.k kupitia upinzani inadhibiti inakuwaje kikundi cha huyo PONDA n FARID ishindwe?
(v) Mwanza nguvu kubwa inatumika kusaka walioua RPC hivyohivyo naomba itumike kutambua
wanaosumbua na kuhatarisha AMANI ya Nchi yetu.
 
Mbegu wapande ccm unataka CHADEMA wakavune? nafurahia ukimya wao endeleeni na m4c yetu wakimaliza kushuhulikia tunda la udini nchi imekwenda
 
Ukimya wa CHADEMA na chama cha wananchi CUF kutokana na matukio yanayo endelea kutokea hapa nchini ni udhaifu mkubwa sana ktk kuonesha kama hawajali inasibitisha kuwa bado wachanga kwa maswala ya kitaifa.

Matukio kama kukojolewa kitabu kitukufu cha waislam ,viongozi kimya si chadema wala cuf. Kuchomwa kwa makanisa viongozi kimya si CHADEMA wala CUF.

Kuuawa kwa polisi zanzibar viongozi kimya si CHADEMA wala CUF. Kuwa kimya ktk matukio makubwa kama haya kunaonesha kutokuwa tayari kuwaongoza watanzania.

Pia ni ishara ya kukosa huruma huku wanapo kuwa na matukio yao ya kisiasa au kijamii huwataka wananchi kuwaunga mkono.

CCM wao wametoa tamko tuwewaona aibu ipo kwa CHADEMA na CUF, mbona kimya kulikoni?

We unataka tamko la wapinzani ili iweje. Acha u...se...nge. Tumia akili sio masaburi kutoa hoja sio huu UTUMBO WAKO.
 
Ukimya wa CHADEMA na chama cha wananchi CUF kutokana na matukio yanayo endelea kutokea hapa nchini ni udhaifu mkubwa sana ktk kuonesha kama hawajali inasibitisha kuwa bado wachanga kwa maswala ya kitaifa.

Matukio kama kukojolewa kitabu kitukufu cha waislam ,viongozi kimya si chadema wala cuf. Kuchomwa kwa makanisa viongozi kimya si CHADEMA wala CUF.

Kuuawa kwa polisi zanzibar viongozi kimya si CHADEMA wala CUF. Kuwa kimya ktk matukio makubwa kama haya kunaonesha kutokuwa tayari kuwaongoza watanzania.

Pia ni ishara ya kukosa huruma huku wanapo kuwa na matukio yao ya kisiasa au kijamii huwataka wananchi kuwaunga mkono.

CCM wao wametoa tamko tuwewaona aibu ipo kwa CHADEMA na CUF, mbona kimya kulikoni?
ndugu yangu!mkombozi wa nchi hii ni mimi na wewe.ukitegemea sijui ccm.chadema,cuf utasubiri sana kwa sababu vyama hivi vinaundwa na watu ambao wengi wao niwanafiki.lengo lao kubwa ni kujitaftia maslahi.kwa hiyo vyama ulivyo visema huwa havizungumzii au kushughulikia suala lisilokuwa na maslahi ya kisiasa kwao.sasa mambo haya ya sasa kwa stegi yalipo jamaa wanaona wakitoa kauli kwa sasa wanaweza kupoteza uungwaji mkono kwa kundi moja.sasa wanataka wasubirie mpaka mgogoro ukae katika staili ambayo akiuzungumzia sasa utaweza kuwa na maslahi ya kisiasa.
 
Chadema wamejaribu kwa wananchi wameshindwa, wamejaribu kwa madaktari wameshindwa, wamejaribu kanisani wameshindwa, sasa wanajaribu kwa Waislaam, watashindwa.

Watshindwa kwa kuwa, matukio yanayohusishwa na Waislaam si ukweli, hata mashtaka aliyofunguliwa Ponda yanahusiana na ukandamizwaji wa Waislaam uliofanywa na Nyerere alipoiua EAMWS na kuunda BAKWATA.

Tofauti yako na yule bi mkubwa aliyekuwa akilia barabarani kuwa kitabu cha allah kimedhalilishwa ni kwamba wewe unajua typing.

Sasa CHADEMA wameshindwa nini?

Na najua mlikuwa na hamu kweli kweli CDM waseme kitu, ndio kwanza Dr.Slaa yuko Shinyanga anakamua M4C kwenda mbele. Majungu yenu na ujinga ni mzigo kwa Taifa
 
.. Wakati mwingine ni vigumu sana kuelewa nini viongozi wetu (serikali na kisiasa) wanawaza. They worry a lot about political correctness than about what is right or wrong. Hili ni tatizo kubwa sana, maana ni lazima tujue wanasimamia nini kabla hatujawapa dhamana kubwa zaidi. Ktk hili chadema wamepwaya! Mbona baada ya uchaguzi walionya na kukemea udin, leo nini kimebadilika?
 
Sisi wana chadema tunatoa matamko ya haya maswala kila siku kwenye hizi kampeni za chaguzi ndogo zinazoendelea.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Wamewaachia waliolikoroga walinywe..........hujasikia wahenga wasemapo" ukilikoroga lazima ulinywe?"...habari ndiyo hiyo..
 
Chadema wamejaribu kwa wananchi wameshindwa, wamejaribu kwa madaktari wameshindwa, wamejaribu kanisani wameshindwa, sasa wanajaribu kwa Waislaam, watashindwa.

Watshindwa kwa kuwa, matukio yanayohusishwa na Waislaam si ukweli, hata mashtaka aliyofunguliwa Ponda yanahusiana na ukandamizwaji wa Waislaam uliofanywa na Nyerere alipoiua EAMWS na kuunda BAKWATA......[/QUOTE]

Zomba vipi unabadilika rangi kila siku kama kinyonga ??
Angalia hapo kwenye blue, Umeonge uongo wa wazi kabisa.
Katika machafuko yote yanayotokea sasa Chadema inahusikaje ??
Katika mashtaka yanayomkabili Ponda, Nyerere ametajwa ??

Mwisho nawapongeza sana Chadema kwa kukaa kimya katika swla hili, maana inaelekea machafuko yote haya ya sasa ni mpango maalum wa serikali ili kiutega Chadema itoe tamko.
Chadema msitoe tamko lolote lile katika vurugu hizi za kidini, mkitoa tamko tu, lawama zote za vurugu hizi zitaelekezwa kwenu.
 
yupi mbora japo robo, aliyeko nchini na kukaa kimnya ama aliyeondoka nchini na kwenda ughaibuni na kuiacha nchi ikiwa kwenye tension?
 
Chadema wamejaribu kwa wananchi wameshindwa, wamejaribu kwa madaktari wameshindwa, wamejaribu kanisani wameshindwa, sasa wanajaribu kwa Waislaam, watashindwa.

Watshindwa kwa kuwa, matukio yanayohusishwa na Waislaam si ukweli, hata mashtaka aliyofunguliwa Ponda yanahusiana na ukandamizwaji wa Waislaam uliofanywa na Nyerere alipoiua EAMWS na kuunda BAKWATA.

Hizi akili za Madrass taabu tupu! Dunia ndivyo ilivyo tutaendelea kuwaelimisha bila kuchoka.

Kama Matatizo ya Waislamu yametokana na ukandamizwaji wa Nyerere na CCM yake, Sasa hapa CDM inaingiaje? Am I missing something? I hope husomi kutoka kulia kwenda kushota!
 
Kimsingi nimependa wachangiaji ambao wao wanajenga hoja ama kupinga au kushauri au kuunga mkono kama ndugu ENZIHURU,NORBITI na MCHUNGAJI nyie mnafaa kuzungumza siasa safi sana pia sipendi tabia ya kuropoka ropoka kama ndugu MWANAMTOKAPABAYA neno umetumwa pia sipendi matusi na kashifa kama ndugu KANIGINI kwani tabia ya mtu mwenye matusi na kashifa ni sifa ya mtoto wa zinaa.

Kumbe kutukana na wewe umo!
 
Chadema wana hekima kubwa kwa kukaa kimya, waliwaonya sana ccm wakati wa uchaguzi lakini wakawa wagumu kuelewa sasa maadam hili ni la kidini wacha wakae kimya, maana wangejidanganya watoe tamko mzigo wote wangetwishwa wao.."upandacho ndicho uvunacho" wacha ccm ihangaike na hili
 
Ndugu usitukane uislam kwa makosa ya watu wachache, we naona ni mpagani kwani Yesu unaemuamini na kumtukuza alisujudu na kuvua viatu wakati wa kusali, usitoe matusi kama hujui ambacho unajifanya unakijua

Ni point nzuri sana! Hata wale waliochoma makanisa hawakustahili kufanya hivyo kwa makosa ya watoto!. GOLDEN RULE kwenye dini karibu zote inasema: UTAKAYO UTENDEWE NA WATU NAWE WATENDEE HIVYO HIVYO!.
 
Ukimya wa CHADEMA na chama cha wananchi CUF kutokana na matukio yanayo endelea kutokea hapa nchini ni udhaifu mkubwa sana ktk kuonesha kama hawajali inasibitisha kuwa bado wachanga kwa maswala ya kitaifa.

Matukio kama kukojolewa kitabu kitukufu cha waislam ,viongozi kimya si chadema wala cuf. Kuchomwa kwa makanisa viongozi kimya si CHADEMA wala CUF.

Kuuawa kwa polisi zanzibar viongozi kimya si CHADEMA wala CUF. Kuwa kimya ktk matukio makubwa kama haya kunaonesha kutokuwa tayari kuwaongoza watanzania.

Pia ni ishara ya kukosa huruma huku wanapo kuwa na matukio yao ya kisiasa au kijamii huwataka wananchi kuwaunga mkono.

CCM wao wametoa tamko tuwewaona aibu ipo kwa CHADEMA na CUF, mbona kimya kulikoni?
Kada wa Magamba! unataka CDM watoe tamko!. ...Tangu ugonjwa wa kuwashwa umeingia magamba yanateseka saaana!
 
Nimekuwa nikifuatilia harakati za Chadema kwa muda mrefu sasa, linapokuwa linatokea jambo gumu linalohusu Taifa Chama hiki maarufu kimekuwa nyuma sasa kutoa msimamo wao. Mfano tukio la Mbagala na Zanzibar, haya kila mtu anayajua jinsi yalivyotokea lakini Chama makini bado wao hawajasikia hayo matukio labda wapo mbali na vyombo vya habari kama walivyosema. Mimi nafikiri kama kunakuwepo na mkutano sehemu ni bora wanachama tukawajulisha kabla hawapanda jukwaani ili jambo la kwanza kiongozi apandapo jukwaani aonyeshe basi kuguswa hata kama haguswi. Wananchi wanaotarajiwa kuongozwa ndo hao hao wanaopatwa na majanga kama hayo tuwaliwaze hata kwa kauli ambazo tunajua ni danganya kubwa, kwa haya viongozi wa Chadema siwatofautishi na Rais Kikwete.



Kinga ni bora kuliko tiba
 
Tulia wewe..
Tusikimbilie kuona matamko...mbona yako mengi sana?
Kinachotakiwa ni vyombo husika ku'holt suala hili...matamko yanasaidia nini?
Kubwa zaidi ni kwamba kama wewe ni mfuatiliaji wa habari hapa ndani utakumbuka kuwa kuna Waraka ulioandikwa na na mtu anayeonekana ni Low sana in every aspect unaosambazwa sehemu mbalimbali, na zaid sana Misikitini ukiwatahadharisha waislamu juu ya CDM..Sasa katika mazingira kama hayo hakuna haja ya kukurupuka, vinginevyo tamko hilo linaweza likawa na tafsiri yake...
Wenye akili zetu hatusubiri matamko ya hivyo!
 
Back
Top Bottom