Ukimya wa upinzani katika Matukio yanayotokea nchini, kulikoni?

Chadema haipaswi kutoa tamko lolote kuhusu hizi fujo. Waacheni CCM na CUF wfe na kuzikana. Huko Zanzibar Mtu na Mkewe wanalumbana. Unadhani kujiuzulu kwa Jusa ilikuwa kwa kazi gani? matunda yake ndio haya na muda huu inawezekana amebana chemba na kiongpzi wa Uamsho wanasikilizia watanzania wanavyomalizana wenyewe
 
Chadema walisema nchi haitatawalika mkadhani wanatania, wameandamana wameona haisaidii sana na sasa wameona ni bora kuwatumia hawa wajinga wajinga wanaosali kama wanakula nyasi.
Ndugu usitukane uislam kwa makosa ya watu wachache, we naona ni mpagani kwani Yesu unaemuamini na kumtukuza alisujudu na kuvua viatu wakati wa kusali, usitoe matusi kama hujui ambacho unajifanya unakijua
 
We mleta mada kumbuka Serikali inayoongozwa na CCM akiwemo na Tendwa walisema CDM ni chama kinachofanya uchoche na kuvuruga amani ya nchi hii, sasa wewe ulitaka watoe matamko gani? Hapa CDM ni kukaa kimya tu ili aibu iwapate wale waliokuwa wakiiponda CDM juu ya uvunjifu wa amani hapa nchi kwani ukweli umejizihirisha waleta fujo ni akina nani.
 
*Mkuu hili suala ni la kiimani zaidi, hivyo hekima na busara ni jambo muhimu sana.

*Kukaa kimya kwa Chadema kwa sasa ndio busara kubwa sana.
Hivi vitu sio vya kukimbilia kabisa kuvitolea tamko zito.

*Watawala wanajaribu kila njia kutaka kuivuruga Chadema, hivyo chokochoko zozote zinazoendelea nchini wangetamani sana Chadema ijiingize ili mjadala ubadilike.

*Kuna hata tetesi zimo humu JF zinadai Shekh Ponda ni pandikizi la magamba pamoja na mambo yote haya anayochochea huwa inaifanyia kazi CCM!!!

*Hukumbuki kauli za watawala akiwemo JK wakati wa migogoro ya madaktari, walimu, wanachuo na kauli za vita dhidi ya Malawi kuwa wanaochochea ni CHADEMA!!!

Panya wa kumvika paka kengere kashaandaliwa.........
 
Hauna busara kabisa!
Hivi unaona kutukana imani za wengine ni ushujaa?
Chadema walisema nchi haitatawalika mkadhani wanatania, wameandamana wameona haisaidii sana na sasa wameona ni bora kuwatumia hawa wajinga wajinga wanaosali kama wanakula nyasi.
 
Umezoea kwenda chaka na kuingia mkenge kwa hiyo unadhani wenzio waingia mkenge kirahisi kama wewe!

You should defferentiate betwee religion and politics!
 
Chadema wamejaribu kwa wananchi wameshindwa, wamejaribu kwa madaktari wameshindwa, wamejaribu kanisani wameshindwa, sasa wanajaribu kwa Waislaam, watashindwa.

Watshindwa kwa kuwa, matukio yanayohusishwa na Waislaam si ukweli, hata mashtaka aliyofunguliwa Ponda yanahusiana na ukandamizwaji wa Waislaam uliofanywa na Nyerere alipoiua EAMWS na kuunda BAKWATA.
 
Chadema wamejaribu kwa wananchi wameshindwa, wamejaribu kwa madaktari wameshindwa, wamejaribu kanisani wameshindwa, sasa wanajaribu kwa Waislaam, watashindwa.

Watshindwa kwa kuwa, matukio yanayohusishwa na Waislaam si ukweli, hata mashtaka aliyofunguliwa Ponda yanahusiana na ukandamizwaji wa Waislaam uliofanywa na Nyerere alipoiua EAMWS na kuunda BAKWATA.

Weka ushahidi wa hoja zako hatutaki hoja bila ushahidi.
 
Ukimya wa CHADEMA na chama cha wananchi CUF kutokana na matukio yanayo endelea kutokea hapa nchini ni udhaifu mkubwa sana ktk kuonesha kama hawajali inasibitisha kuwa bado wachanga kwa maswala ya kitaifa.

Matukio kama kukojolewa kitabu kitukufu cha waislam ,viongozi kimya si chadema wala cuf. Kuchomwa kwa makanisa viongozi kimya si CHADEMA wala CUF.

Kuuawa kwa polisi zanzibar viongozi kimya si CHADEMA wala CUF. Kuwa kimya ktk matukio makubwa kama haya kunaonesha kutokuwa tayari kuwaongoza watanzania.

Pia ni ishara ya kukosa huruma huku wanapo kuwa na matukio yao ya kisiasa au kijamii huwataka wananchi kuwaunga mkono.

CCM wao wametoa tamko tuwewaona aibu ipo kwa CHADEMA na CUF, mbona kimya kulikoni?

Hayana tija kwao matamko ya nini? wao ni maarufu katika masuala ya kuwaimarisha kisiasa na si vinginevyo. Jambo la aibu sana. Ubinafsi na uchu wa madaraka tu hawana lolote.
 
Dr Slaa alikwishawaonya watanzania kuwa wakimrudisha Kikwete madarakani ni janga la kitaifa, sasa wanataka aseme nini tena??

Inawezekana kabisa vurugu hizi zinaratibiwa na CHADEMA ili JK aonekane ni janga la kitaifa nini? kama kweli wanasiasa ndo wamefika huko kazi ipo.
 
Haya matamko kuhusiana na hili hayasaidii kitu chochote alijiweka mwenyewe hapo juu

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Ukimya wa CHADEMA na chama cha wananchi CUF kutokana na matukio yanayo endelea kutokea hapa nchini ni udhaifu mkubwa sana ktk kuonesha kama hawajali inasibitisha kuwa bado wachanga kwa maswala ya kitaifa.

Matukio kama kukojolewa kitabu kitukufu cha waislam ,viongozi kimya si chadema wala cuf. Kuchomwa kwa makanisa viongozi kimya si CHADEMA wala CUF.

Kuuawa kwa polisi zanzibar viongozi kimya si CHADEMA wala CUF. Kuwa kimya ktk matukio makubwa kama haya kunaonesha kutokuwa tayari kuwaongoza watanzania.

Pia ni ishara ya kukosa huruma huku wanapo kuwa na matukio yao ya kisiasa au kijamii huwataka wananchi kuwaunga mkono.

CCM wao wametoa tamko tuwewaona aibu ipo kwa CHADEMA na CUF, mbona kimya kulikoni?

Watatoa tamko gani wakati wao ndo watuhumiwa wakubwa? soma waraka wa Waislamu uone.
 
Sasa kada mkuu, kwani nini hasa kinahitajika hapa?

Dola ya Tanzania imeshikwa/kuendeshwa na CCM, uzembe huu unaotokea laiti kusingekuwa na mambo ya kusema, " Serikali ya CCM", mwaka huu Serikali "ya CCM" imefanya hivi na hivi na bado Serikali hii sikivu "ya CCM" imedhamiria kufanya mamvo makubwa zaidi!
Tumezoea kauli kama hizi bungeni, Mihadhara, mikutano ya KISERIKALI kana kwamba Vyama vingine vya siasa vina serikali yao...So tunajikuta tunataka kusikia "MATAMKO" kutoka vyama vyote vya kisiasa?
-Tunajua muda unaopotea, amani, nguvu, pesa zinazotumika katika haya yanayoendelea nchini?!..Unadhani tutavirudisha??Lini na kivipi(kwa njia gani)?

Besides, Hypothetically speaking CHADEMA na CUF(vyama ulivyovitaja) wakitoa "TAMKO", watoe kwa nani, iweje?..Bado wanaweza kusimamia Amani na Utulivu ikiwa hawana dola?

-Hili ni suala la Kidini zaidi kuna wafuasi wa dini mbali mvali takribani katika kila Chama cha siasa, Vyama hivi kuongea sasa(INGAWA NI KWA NIA NJEMA-kuikumbusha serikali wajibu wake), itatafsiriwa kuwa ni uchochezi wa "kisiasa" katika suala la "kidini"..na hata pengine kuleta mvurugano kivyama(CCM, CHADEMA, CUF,NCCR,TLP n.k)kwakuwa hata wao wanawafuasi wa kila dini!
 
Back
Top Bottom