ile prophesy aliyotoa brother PASCO kweli imetimia.
mchangiaji huyu aliwahi kusema maneno humu juu ya wachangiaji ambao ni wa wapenzi wa CHADEMA kukataa any criticisms au kuwa questioned akatukanwa matusi ya kila namna.
Yaani watu wako so blinded na mapenzi kiasi cha kukataa kuona zaidi ya yaliopo machoni mwao.
CHADEMA wanataka kuchukua nchi in 2015, katika hali ya kawaida kama vilivyo vyama vya upinzani ambavyo ni professional kwenye kazi yao walitakiwa watuletee ufumbuzi mbadala na kuleta tathmini ya hali halisi kwa kupitia think tanks ambazo ziko sympathetic nao lakini wapi.
Naamini kuwa wapo wana Jamii forums ambao ni CHADEMA na wangependa kumwona waziri kivuli wao akiita press conference na kutoa tamko la hali halisi ya usalama na hizi vurugu in particular. Tumeona Romney alivyotoa tamko baada ya ubalozi wa Marekani kushambuliwa kule Benghazi (japo hakuwa na facts za kutosheleza), tunaona wapinzani Kenya, Sout iliopo hapa TanzamJamiiforums imeu na hasa humu JF watu wanakuwa bullied kwaku question CHADEMA na kimya chao. Hii inatisha kwenye demokrasia na inaonyesha wazi kuwa mashabiki wa CHADEMA wakichukua nchi hali itakuwaje.
Hii ni hatari sana kwa democrasia.
Kutaka ku-politicize hii issue ni kufilisika kwa hoja. Na hii obssesion ya kutaka kusikia kauli toka CHADEMA kwa kila jambo pia dalali ya kutojua 'what to do' na hivyo kutafuta 'majawabu' toka kwa mwingine.