UKIMWI upo ndugu zangu

nshashtuka humu wengi wameshaungua wanajibizana wenyewe kwa wenyewe utafikiri wanaongelea malaria au mafua vile wanataka na wengine waingie mkenge kama wao. ndugu zangu iyo sio vizuri.

kama uliteleza ukaupata ndo imeshatokea ivo auwezi kurudi nyuma wew mshukuru mungu ila waokoe wengine
 
Nimepata wazo jipya.... Kama wewe unaukimwi na umekata tamaa njoo zako pm kwa speed (Mwezi mtukufu upo mbele hapo,,,, huenda meza ikapinduka ndani ya mwezi mmoja)

Ntakupatia njia salama kabisa.... N muongozo wa kiibada pekee!!! Pia ntakupatia siri ya kuwa karibu na Allah halafu kwenye ule usiku wa lailatul qadr ntakuombea uzima kwa mwenyez Mungu!!!
Trust me unapona kabisa..... Ninahakika na nnachokiongea!!!

Note: Ramadhan yote mm ntajitaahd kujitenga na maaswi kwa kukaa sehem moja siku zote 30 nikifanya ibada na nyirad zangu(watu wa twariqa tunaita chimbo)


If you have a solution then good luck...... Kuliko kukaa na kulia bila sabb kwanini usifate njia yangu (note: dozi utaendelea nazo Kama kawaida ili uwe na amani)

Halafu huduma n free kabisa

Wee bana achaga uongo, uliwahi sikia wapi mfungo wa ramadan ukamponesha mtu ukimwi. Muambie tu ukweli kwamba mpaka sasa umekufa nusu. ukizembea ukimwi utasababisha kifo chako kamili. Halafu umuambie kama bichwa lako linashindwa kujizuia hisia za ngono kama jogoo au mbuzi, basi endelea kufa pole pole.
 
Wakati mwingine tunaweza kumsimanga mtoa mada kuhusu madhaifu kadhaa kwenye maandishi yake hapa JF

Lakini kumbe lengo lake ilikuwa kuendelea kuikumbusha Jamii, ikiwemo Jamii ya watumiaji wa JamiiForums kwamba pamoja na kimya kilichopo kuhusu HIV/Ukimwi ila still ugonjwa huu upo kwenye jamii zetu.

Muhimu tuendelee kuchukua tahadhari ili kuepusha maambukizi mapya.

Miaka ya Zamani niliwahi kusikia wimbo mmoja wa Bongo Fleva unaitwa Jirushe - Ferouz Ft Jay Moe Kuna sehemu Jay Moe alighani Kwa kusema "Hakuna Demu wa kwenda naye Nyama Kwa nyama" unless umepima naye na mmejiridhisha kwamba nyote mko salama.

Vinginevyo Vijana wa hovyo hapa jamvini hupenda kusema "Vaa Kondomu mbili 🙌" na usiende safari zaidi ya Mbili

For whatever reason, tuendelee kuchukua tahadhari Vijana Kwa Wazee 🤗
Hahahah demu wa kuvaa visendo vya manyoya unagonga kishababi kweli? Ukitaka uwe salama pendelea a kugonga wale mademu ambao wanaonekana washamba washamba. Hao mara nyingi huwa watu wanawa ignore sababu hawako kisasa.
 
Watu wanataka wafunge magoli ya chenga nyingi kama za mzee Ronaldinho
Shida yote ya nini! Mtu unapiga chenga zako 2 - 3 unafunga vigoli viwili unamwacha aende.

Sasa hawa vijana huwa wanaonesha mbwembwe kuanzia mwanzo wa mchezo.
Kwanza wanaingia kwa kuruka ukuta, pili vyenga vingi sana. Anafika mpaka golini halafu hafungi anamsubiri mpinzani afunge halafu yeye ndio aje kwa come back ya kibabe.
Kisa anafidia gharama za maandalizi ya mechi.
 
Back
Top Bottom