Mara ya kwanza kupima ukimwi

gwego1

Senior Member
Jul 28, 2023
147
521
Wasaalam!

Leo imekuwa siku yangu ya kwanza tangia nizaliwe kupima ukimwi! Na kupata majibu! Aisee roho kidogo iache mwili!

Nakumbuka Kuna siku nilinunua kipimo nikajipima Geto! Lakini kuangalia majibu ikawa ni ngum! Nikaamua nijifunge kitambaa usoni nikakafata kakipo bila kuona nikakafulashi chooni.

Nimewakumbumbuka wanawake wote ambao nishawahi kulala nao! Nikaanza kujiuliza nikikuta nimeukwaa ni nan kati Yao atakuwa amenipa! Mungu ni mkubwa Niko Poa.

Kuanzia Leo sipigi tena kavu! Wana Jamvi share exeperiance yako ilikuwaje siku yako ya kwanza kupima ukimwi!

Nawasilisha.
 
Ukimwi wanaupata wanaopenda kupima pima hovyo, mtu yeyote ambaye hajawahi kupima ukimwi na akaapa kutopima ukimwi maisha yake yote hatakaa apate ukimwi. NEVER.

Hayo maelezo niliyotoa hapo juu kwa walio wengi yanaweza kuchukuliwa kimzahamzaha, lakini ukibahatika kumpata daktari yeyote mkongwe wa zamani kidogo ukamuuliza ukweli kuhusu hayo maelezo ndo utaelewa maana. Siku ikitokea kwa makusudi au bahati mbaya ukapimwa/kujipima ukakuta una Upungufu wa Kinga Mwilini(Ukimwi), usipanic.., nenda kale vizuri (balanced diet) kwa wiki 3 mfululizo hivi halafu nenda hospitali yeyote kapime tena Ukimwi. Kosa kubwa sana ni kukubali kumeza yale madonge(ARV). Hapo ndo tatizo linapoanzia.
 
Ukimwi wanaupata wanaopenda kupima pima hovyo, mtu yeyote ambaye hajawahi kupima ukimwi na akaapa kutopima ukimwi maisha yake yote hatakaa apate ukimwi. NEVER.

Hayo maelezo niliyotoa hapo juu kwa walio wengi yanaweza kuchukuliwa kimzahamzaha, lakini ukibahatika kumpata daktari yeyote mkongwe wa zamani kidogo ukamuuliza ukweli kuhusu hayo maelezo ndo utaelewa maana. Siku ikitokea kwa makusudi au bahati mbaya ukapimwa/kujipima ukakuta una Upungufu wa Kinga Mwilini(Ukimwi), usipanic.., nenda kale vizuri (balanced diet) kwa wiki 3 mfululizo hivi halafu nenda hospitali yeyote kapime tena Ukimwi. Kosa kubwa sana ni kukubali kumeza yale madonge(ARV). Hapo ndo tatizo linapoanzia.
Acha kudanya watu mkuu et ukimwi ukipima ndo unaupata nazani ukiupata hutasem hayo maujinga hapa
 
Acha kudanya watu mkuu et ukimwi ukipima ndo unaupata nazani ukiupata hutasem hayo maujinga hapa
Sijaongea hivyo bahati mbaya na kama upo mbali na yanayoendelea ulimwenguni huwezi kunielewa kamwe. Narudia, UKIMWI ni Upungufu wa Kinga Mwilini, upo miaka mingi sana nyuma. Siku ukiwa na mafua makali au kinga zako zimeshuka kidogo ambayo ni kawaida ukipima hiv watakwambia una AIDS(Aquired immunity deficiency syndrome),na kukupa ARVs, kosa kubwa ni kuanza kumeza huo usenge. Ukiumeza umekwisha. Sikulazimishi kuamini hili ni jukwaa huru, chukua au acha.
 
Acha kudanya watu mkuu et ukimwi ukipima ndo unaupata nazani ukiupata hutasem hayo maujinga hapa
Pitia pitia hicho kitabu hata page 20 za mwanzo zitakupa mwanga kuhusu huo ugonjwa hewa. Ruhusu mawazo tofauti na ulivyokaririshwa ndo utaelewa.
 

Attachments

  • Deadly Deception the Proof That Sex And HIV Absolutely Do Not Cause AIDS - Robert Willner.pdf
    3.3 MB · Views: 5
Pitia pitia hicho kitabu hata page 20 za mwanzo zitakupa mwanga kuhusu huo ugonjwa hewa. Ruhusu mawazo tofauti na ulivyokaririshwa ndo utaelewa.
Siwez pitia mtu ambae anashindwa kutoa elimu kwa vijana wajue ukimwi ni ugonjwa hatar adanganye vijana kama unadangany watu kusem ivo mungu akulani ni ujinga mtu anaejielewa kuleta koment kam iyo nazani ukitembelea hospital kuona wajamaa walvopata ngwengwe unasem hii dhambi ya ngono naach leo inaumiza sana kuishi kwa matumaini kwa kunywa dawa ni tabu na mzigo juu ya mzigo kidonge kama kidole cha mtot mdogo dawa za UTI week moja unasikia mwili unanuka wote dawa ije kuwa arv broo upo serius
 
Siwez pitia mtu ambae anashindwa kutoa elimu kwa vijana wajue ukimwi ni ugonjwa hatar adanganye vijana kama unadangany watu kusem ivo mungu akulani ni ujinga mtu anaejielewa kuleta koment kam iyo nazani ukitembelea hospital kuona wajamaa walvopata ngwengwe unasem hii dhambi ya ngono naach leo inaumiza sana kuishi kwa matumaini kwa kunywa dawa ni tabu na mzigo juu ya mzigo kidonge kama kidole cha mtot mdogo dawa za UTI week moja unasikia mwili unanuka wote dawa ije kuwa arv broo upo serius
Mimi najaribu kukupa elimu bure. Nchi nyingi za wazungu wanajua haya ninayokwambia, imebakia Africa na nchi za ulimwengu wa tatu.(Third world),hayo ma ARV's ndo Ukimwi wenyewe. Yanaua Kinga zako za asili unabaki kuyategemea hayo maisha yako yaliyobakia. Ukiacha unashambuliwa, usipoyazingatia shida pia na yakikukataa mwili wako ndo, kidney failure,heart attack etc. ila usipoyameza kabisa ukala vizuri, Kaa wiki kadhaa kapime tena utakuta hakuna kitu. Haya maelezo hutayasikia sehemu nyingi sababu waliojaribu kuyaelezea wengi wameuawa. Hii ni biashara kubwa kuliko unavyodhani, ARV's sio Bure kama watu wengi wanavyojua, serikali nyingi zinalipa bilioni nyingi Kila mwaka kuletewa ARVs Ili zigawiwe kwa wananchi free,ila viwanda vya madawa(pharmaceutical companies) zina uhakika wa ma trillion kila mwaka. Umewahi kujiuliza kwanini wanasisitiza sana watu kupima!?,Ili kila ukipima bahati mbaya siku hiyo Kinga zako za mwili zipo chini utaambiwa tayari na manesi na madaktari wameprogramiwa kama mazuzu wakuanzishie ma ARVs dakika hiyohiyo, hapo tayari umeshakamatwa. Kwanini baada ya miezi mitatu ya kutumia ARVs huwezi kuacha kirahisi!??., sababu inakuwa imeua Kinga zako za asili mwili unabakia kutegemea ARVs. Wamezi design hivyo. Ruhusu mawazo tofauti ndo utanielewa, nimekuwekea kitabu jaribu kupitia. Kuna madaktari mabingwa USA, na European Union, waliojaribu kuelezea haya, wengine walifungiwa sababu ni biashara kubwa sana.
 
Siwez pitia mtu ambae anashindwa kutoa elimu kwa vijana wajue ukimwi ni ugonjwa hatar adanganye vijana kama unadangany watu kusem ivo mungu akulani ni ujinga mtu anaejielewa kuleta koment kam iyo nazani ukitembelea hospital kuona wajamaa walvopata ngwengwe unasem hii dhambi ya ngono naach leo inaumiza sana kuishi kwa matumaini kwa kunywa dawa ni tabu na mzigo juu ya mzigo kidonge kama kidole cha mtot mdogo dawa za UTI week moja unasikia mwili unanuka wote dawa ije kuwa arv broo upo serius
Muulize daktari yeyote kama amewahi kuona kirusi cha ukimwi (Human immunodeficiency virus), popote kwenye microscope!?,hata kina shape gani!?,halafu muulize wanachopimaga maabara ukiacha hutu tuvipimo twa siku hizi, kwenye microscope ni nini!?,na tofauti yake na mtu aliyepungukiwa Kinga kwasababu ya mafua au magonjwa mengine kwenye damu yake ni nini!?..
 
Muulize daktari yeyote kama amewahi kuona kirusi cha ukimwi (Human immunodeficiency virus), popote kwenye microscope!?,hata kina shape gani!?,halafu muulize wanachopimaga maabara ukiacha hutu tuvipimo twa siku hizi, kwenye microscope ni nini!?,na tofauti yake na mtu aliyepungukiwa Kinga kwasababu ya mafua au magonjwa mengine kwenye damu yake ni nini!?..
Wew hata uko marekani ukimwi upo usidanganye wap hila shaka wew ni msabato ndio huwaga mnalishanaga matango pori
 
Wew hata uko marekani ukimwi upo usidanganye wap hila shaka wew ni msabato ndio huwaga mnalishanaga matango pori
Mkuu huna akili, hata Marekani na ulaya mafala ni wengi sana kama wewe na ndo msingi na mtaji wa utajiri wa mabepari. Kwa taarifa yako raia wa Marekani hasa weusi vichwani weupe kama wewe. Mwanzilishi wa UKIMWI anaitwa Robert Gallo, m google huyo tu. Nakuacha na ujinga wako.
 
Mkuu huna akili, hata Marekani na ulaya mafala ni wengi sana kama wewe na ndo msingi na mtaji wa utajiri wa mabepari. Kwa taarifa yako raia wa Marekani hasa weusi vichwani weupe kama wewe. Mwanzilishi wa UKIMWI anaitwa Robert Gallo, m google huyo tu. Nakuacha na ujinga wako.
Wew ni mavi tena ya ni lijinga la mwisho huna unachokijua mbwa wew kazi kujidai unajua haya sasa si unajua kuliko wao lete dawa manina
 
Back
Top Bottom