KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,663
- 1,921
Alimsamehe mume wake au wameachana??Asilile ,mbona kawaida ,afanye mazoezi ,ale vizuri ataishi maisha marefu sana ,mimi kuna sister namjua ,2004 aligundulika na ngoma ,2008 ikampiga hasa akaanza ARV ,yupo anadunda fresh mpaka leo...Aliipata kwa mmewe kicheche.