The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 5,244
- 8,563
๐๐๐ Salaam jukwaa la MMU,
Nimeanza na kucheka maana demu unakutana naye mchana eti hajala, demu wa hivi ungekutana naye asubuhi si angeomba mswaki?
Yaani kisa ukali wake anajeuka kuwa yatima, huwa inakuwaje kwa hawa mabinti.
Tafiti zinaonesha wengi huwa ni 20 to 27 Aged ndiyo wana hizo pigo za kugeuka mayatima. ๐
Hili ni angalizo natoa kwa vijana sio kila pisi kali unaomba namba.
Nimeanza na kucheka maana demu unakutana naye mchana eti hajala, demu wa hivi ungekutana naye asubuhi si angeomba mswaki?
Yaani kisa ukali wake anajeuka kuwa yatima, huwa inakuwaje kwa hawa mabinti.
Tafiti zinaonesha wengi huwa ni 20 to 27 Aged ndiyo wana hizo pigo za kugeuka mayatima. ๐
Hili ni angalizo natoa kwa vijana sio kila pisi kali unaomba namba.