Baba Tunde
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 369
- 115
I am telling you people, with Kikwete, CCM and upuuzi wa spika na wabunge vilaza wa CCM, hatutafika mbali, zaidi ya kuchapana. Kila mahali sasa hivi ni ukabila na ukienda Zanzibar, ni muungano. Kikwete is so weak!! Kazi ya usalama wa Taifa ni nini? Inaelekea usalama wa Taifa una matatizo ya kiutendaji na itakuwa imejaa kama si vlaza basi ni watu wanaojali matumbo yao. Itakuwa wanaangalia usalama wa Rais badala ya usalama wa nchi. Kwa nchi za wenzetu, usalama wa taifa uko kwa maslahi ya taifa na si rais au mtu mwingine yeyote. Wao wako tayari hata kutoa uhai wa kiongozi wa nchi kwa maslahi ya walio wengi. Tuendako ni giza na ni hatari kwa kwetu sote. Hakuna atakayebaki salama hali ikiwa tete!!