Si warudi wakazambazane kwao kwa nn wanang'ang'ania mikoa ya wengine wakati Wana makwao?Ndo shida ya vitu maalamu! hawajui wanachfanya Walah! Mchaga kafikaji huko Yakhe? Hivi Serikali yetu ina mawaziri wangapi wa kichaga waacheni wachaga tena nazani ktk tanzania ndio kabila linalosambaza maendeleo sana katika sehemu nyingi za nchi mfano kufanya biasha nk