mwakatojofu
Senior Member
- Dec 17, 2008
- 199
- 3
Ahsante Mwanakijiji. Kama ningekuwa Lowassa nisingeona aibu kuitisha press conference na kukiri kuisoma barua yako na kuitafakari na kuamua kuifanyia kazi. Tatizo la viongozi wetu na watanzania kwa ujumla ni kuona aibu au kudhani kuomba radhi ni udhaifu. Hili ndilo linalomponza Mkapa sasa.
Sijui kwa nini hawaioni logic simple kiasi hiki. Kusimama na kuwaambia watanzania "I am sorry for what i did" ni virtue ya hali ya juu sana na inaweza kumsafisha mtu yeyote hata Rostam!
sio rahisi kuomba samahani
na kuomba samahani ni ustaarabu wa hali ya juu. inaambatana na kukubali kuwa wewe ni binadamu kama wengine - kuwa wewe sio malaika - kwamba unaweza kukosea kama kila mtu awezavyo kukosea
hata hivyo kuomba samahani kunaambatana na nia ya kutotaka kurudia tena. sasa kwa mfano rostam kama ni fisad kama tunavyotaarifiwa kwenye vyombo vya habari ana nia ya kutorudia kutuhujumu tena mpaka aombe samahani? subutu! huenda ndo kwanza kunakucha
na kuomba samahan kwa ukweli kunaambatana na kurudisha ulichokichukua pasipo uhalali. je, mkapa, yona etc wako tayari kuurudisha ule mgodi wa kiwira na vinginevyo? subutu! mkewe atakubali? say
kuomba sanahan sio rahis kihivyo