Criss
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 858
- 252
Kuna Rais mwingine zaidi ya Dr.waukweli?
Naamini hata Kikwete anajuta kimoyomoyo kwa nini aliukurupukia Urais
Wacheni kutuletea mavuvuzela hapa Tanzania sio inji ya majaribio .
Tanzania ni inji iliyojaliwa karibu kila kitu na aina ya kiongozi inayo muhitaji si jamii ya mabwanyenye waliopo sasa wasiojua hata vipaumbele vya msingi kwenye inji iliyo na utajiri wa aina tulio nao.
Serikari iliyojijngea utaratibu wa kuendesha mambo yake kimizengwe mizengwe utadhani imejiweka yenyewe madarakani unatarajia kuona wanainji wake watatoka kwenye shimo lililo wachimbia?watatolewa na nani?
Natamani 2015 iwe kesho CCM ione ilipo jifikisha na hivyo vi miamia mnavyokula ili kusafishana vitwagharimu.
Kwa hali ilivyo kwenye huu mpango wao wa kuvuana magamba siku moja natarajia kuona Kikwete na swahiba wake wanachapana mkono hadharani
Naamini hata Kikwete anajuta kimoyomoyo kwa nini aliukurupukia Urais
Wacheni kutuletea mavuvuzela hapa Tanzania sio inji ya majaribio .
Tanzania ni inji iliyojaliwa karibu kila kitu na aina ya kiongozi inayo muhitaji si jamii ya mabwanyenye waliopo sasa wasiojua hata vipaumbele vya msingi kwenye inji iliyo na utajiri wa aina tulio nao.
Serikari iliyojijngea utaratibu wa kuendesha mambo yake kimizengwe mizengwe utadhani imejiweka yenyewe madarakani unatarajia kuona wanainji wake watatoka kwenye shimo lililo wachimbia?watatolewa na nani?
Natamani 2015 iwe kesho CCM ione ilipo jifikisha na hivyo vi miamia mnavyokula ili kusafishana vitwagharimu.
Kwa hali ilivyo kwenye huu mpango wao wa kuvuana magamba siku moja natarajia kuona Kikwete na swahiba wake wanachapana mkono hadharani