jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,522
Mkuu huyu jamaa nilimsikia nikiwa na miaka chini ya 16 na hadi leo sijasahau.Yani nikikumbuka ni kama namsikia na kumwona.Na wakati huo sasa wala hakuwa maarufu kiasi hiki.Na la msingi lilikuwa hilo la ujengaji wa hoja.Ukimsikiliza,ana convincing power ya ajabu.Nilisha sema na leo narudia tena! Hakuna mwenyekiti wa chama chochote cha siasa kwa sasa anae tema madini mdomoni akiongea kama kamanda Mbowe! Jamaa anaongea issues zinazogusa watanzania. Asie amini atafute audio ya speech yake pale Serena Hotel au hata akiwa anahojiwa.
Kamanda amekomaa ajabu ya maulana!