Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
baada ya maandishi vitendo tuvione lakini ikiishia kwenye maandishi inakosa maana! Tumezoea kuona maneno mazuri kwenye mabango ya wanajiita wanaharakati lakini vitendo huwa duni siku zote! Katika hili mr.Lema nitakusifu nikiona vitendo vya dhahiri na sasa naomba niliweke moyoni!
Lema ni kamanda hata ktk maandamo huwa mstari wa mbele au hukuwahi kumuona alivyopigwa na polisi mpaka kulazwa hospital ya Mount Meru.@QUOTE