Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,746
- 15,222
Wahenga walishaonya kuwa kusikia kwa kenge ni mpaka damu masikioni, inasikitisha sana genge la CHADEMA liliongoza kumtukana na kumchafua hayati Edward Lowasa bila ushahidi wowote ndiyo hilo hilo lilikuja kulazimika kutumia sabuni nyingi sana kumsafisha na kumuombea kura mbele ya Watanzania na kwa kuwa Watanzania siyo nyumbu kama wao waliambulia kunyimwa kura na wananchi!
Kwa miaka kumi mfululizo Mbowe, Lema, Lisu, Msigwa na magazeti yao ilikuwa kazi yao kubwa ni kumtukana Lowasa kuanzia asubuhi mpaka jioni.
Kwa kuwa huwa hawajifunzi na ni kawaida ya nyumbu kutojifunza wameanza tena kumtukana kijana mchapakazi machachari na tegemeo la Watanzania masikini na wanyonge bwana Paul Makonda,
kwenye msiba wa Lowassa amesikika Godbless Lema akiporomosha matusi mazito kwa Makonda, lakini tunamuonya tu kuwa siku akihamia CHADEMA ni Lema huyo huyo ndiye atakayelazimika kumsafisha.
Tunatoa tahadhari kwa vijana wa CHADEMA wote wajifunze kwa Lowassa na kuanzia sasa kila wanapopewa maagizo ya kumtukana kiongozi fulani wawe wanaweka akiba ya maneno kwa sababu pindi Mbowe anapobadili gia angani wanaoumia ni BAVICHA maana wanakuwa na kazi kubwa ya kusafisha matope waliyoyarundika wao wenyewe.
Kwa miaka kumi mfululizo Mbowe, Lema, Lisu, Msigwa na magazeti yao ilikuwa kazi yao kubwa ni kumtukana Lowasa kuanzia asubuhi mpaka jioni.
Kwa kuwa huwa hawajifunzi na ni kawaida ya nyumbu kutojifunza wameanza tena kumtukana kijana mchapakazi machachari na tegemeo la Watanzania masikini na wanyonge bwana Paul Makonda,
kwenye msiba wa Lowassa amesikika Godbless Lema akiporomosha matusi mazito kwa Makonda, lakini tunamuonya tu kuwa siku akihamia CHADEMA ni Lema huyo huyo ndiye atakayelazimika kumsafisha.
Tunatoa tahadhari kwa vijana wa CHADEMA wote wajifunze kwa Lowassa na kuanzia sasa kila wanapopewa maagizo ya kumtukana kiongozi fulani wawe wanaweka akiba ya maneno kwa sababu pindi Mbowe anapobadili gia angani wanaoumia ni BAVICHA maana wanakuwa na kazi kubwa ya kusafisha matope waliyoyarundika wao wenyewe.