klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,140
Ni husninyo huyo, katoka hapa kwangu kavaa hivo, hivo! Eti kamepauka lol, una laana wewe!
hehhehe nyepes nyepes zinasema husninyo tangia achumbiwe anavaa niqabu
Ni husninyo huyo, katoka hapa kwangu kavaa hivo, hivo! Eti kamepauka lol, una laana wewe!
Utakuwa na matende basi
Onana na mzizimkavu, alisema ugoro ukiuchanganya na asali mbichi na majani ya mbaazi inasaidia. Mzizimkavu ni zaidi ya mchina.lawyer haya bana, ngoja tutafute dawa za kunenepesha miguu. Lol
hehhehe nyepes nyepes zinasema husninyo tangia achumbiwe anavaa niqabu
Pole sana chwiti loya,kumbe hujui jana nimefunga ndoa na my swytheart Rejao!!!,Khaaaaaaaaa! naomba huduma ya oksijen
Nimefungua duka la mitumba ya kinadada sinza, nirushie niongeze kamtajihehehehe! Vimini vyangu na vitop nimwachie nani?
Nimefungua duka la mitumba ya kinadada sinza, nirushie niongeze kamtaji
Ulikuwa huna habari?? Khaaaaaa!!!!Khaaaaaaaaa! naomba huduma ya oksijen
Pole sana chwiti loya,kumbe hujui jana nimefunga ndoa na my swytheart Rejao!!!,
Ngoja nikuitie fello tableti wako akupepee na ungolol!
Hako kadada apo red majuzi nilikaota usingizini, katam kweli aiseenikurushie za kirihana au za kiminaj?
Thanxxx SL, endelea hivyo hivyo kunilindia mywaif wangu Canta..naona hawa tablets hawana nia nzuri!Sheria za jf haziruhusu kumwita mke mwa mtu sweetie, umepewa kibali na Rejao au una hamu ya pamanenti ban?
Hako kadada apo red majuzi nilikaota usingizini, katam kweli aisee
Hii JF nimegundua ukiondoka wiki tu ukiludi watu washataifisha. Acha nikawekeze michuzi bloguUlikuwa huna habari?? Khaaaaaa!!!!
Hahahah...rejao ni bonge ya pedeshee full kugawa minoti!Tahazari: Rejao ni mbahili sometime anajikopesha mwenyewe.
Hahahaha,Tahazari: Rejao ni mbahili sometime anajikopesha mwenyewe.
Rejao bana, Canta leo nimemfuma kwenye boda boda anawahi kibarua.Hahahah...rejao ni bonge ya pedeshee full kugawa minoti!
Kwa advataiz nimemkabidhi Canta ka Vits open roof ka kuendea gengeni!
Niache vois meil?oooh! Twiiii, nimesign out.
Hahahaha,
Km hujui ni kwamba Huby wangu anawabania nyie tu,
Kwa kuhakikishia hilo tangu usiku wa jana kanimilikisha ufunguo wa seifu na pasiwedi za atm zake lol!
Nakushukuru kwan wezi wote watakaa mbali na Rejao wangu.