Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
Aaaah!! Umefananisha..Rejao bana, Canta leo nimemfuma kwenye boda boda anawahi kibarua.
Canta nipo naye hapa tunakula asali mwenzi!
Aaaah!! Umefananisha..Rejao bana, Canta leo nimemfuma kwenye boda boda anawahi kibarua.
Hahah...leo mbinu zako zote hazifanyi kazi! Canta tayar yupo kwenye himaya yangu.Usisahau Rejao anafanya kazi ya ulinzi wa magari, usije ukatafutwa ukaisaidie polisi. Think! canta think!
Utakuwa na matende basi
Wewe tena? Brother from another mother, wala usiwaze!..Thanxxx SL, endelea hivyo hivyo kunilindia mywaif wangu Canta..naona hawa tablets hawana nia nzuri!
Acha nimtafte faza mtambuzi nimpe chake achafue muvi sasaHahah...leo mbinu zako zote hazifanyi kazi! Canta tayar yupo kwenye himaya yangu.
Angalizo: usimtumie PM yoyote..mimi ndiye incharge wa password yake.
Sina wasi wasi na hilo kwan loya upo tutakukatia mkwanja wa maana utasimamia kesi km hizo,Usisahau Rejao anafanya kazi ya ulinzi wa magari, usije ukatafutwa ukaisaidie polisi. Think! canta think!
Dah! hapa kimewaka! acha nimtafte keren happuch wangu. Halaf hasira zangu mchango wa harusi stoiSina wasi wasi na hilo kwan loya upo tutakukatia mkwanja wa maana utasimamia kesi km hizo,
Isitoshe hata km angekua mgambo wa jiji,kwake sion wala sisikii,
Nimekwama kwa rejao na kunasuliwa sitaki mie!!
Hahahaha hahaha,asiye na mwana aeleke jiwe lol!Dah! hapa kimewaka! acha nimtafte keren happuch wangu. Halaf hasira zangu mchango wa harusi stoi
Hahahah...rejao ni bonge ya pedeshee full kugawa minoti!
Kwa advataiz nimemkabidhi Canta ka Vits open roof ka kuendea gengeni!
Duh! Afadhali sina.
Husny" hujambo dada angu.
sijambo kaka, miss yuuu. We huna laana bila shaka.
Namba 7 ndio tatizo langu inawezekana nina laana..lol..
aaah wapi! Kaka yangu u bonge la HB.
, Mie naipenda Avatar yako.
ukiwa unadanganywa kwa ubwabwa mweupe halafu unauza kura
je pilau?