Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Mar 2, 2012 Thread starter #41 mambo said: Duh inamaana nimelaaniwa?lol Click to expand... Dah,mkuu jamaa amekudhalilisha
mambo JF-Expert Member Jun 11, 2007 2,373 5,600 Mar 2, 2012 #42 Excellent said: Dah,mkuu jamaa amekudhalilisha Click to expand... Mkuu wangu Exellent itabidi niandamane.
Excellent said: Dah,mkuu jamaa amekudhalilisha Click to expand... Mkuu wangu Exellent itabidi niandamane.
S SI unit JF-Expert Member Feb 24, 2012 1,953 766 Mar 2, 2012 #44 Johnson2012 said: ukiwa shabiki wa Mashetani Click to expand... Kama avatar yako inafanana na sura ya shetan
Johnson2012 said: ukiwa shabiki wa Mashetani Click to expand... Kama avatar yako inafanana na sura ya shetan
Bishanga JF-Expert Member Jun 29, 2008 15,323 10,050 Mar 2, 2012 #45 Mmmmmmhhhhh saw a wakuu,naona mipweint yote inanihusu,hay a bana kwa raha zenu!
R Rev Fr KABOKA mchizi Member Feb 20, 2012 93 11 Mar 2, 2012 #46 Kama hujaanza kulipa HESLB wakati umeajiriwa/kujiajiri..
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,374 Mar 2, 2012 #47 ...Ukiwa mnoko kuchongea wenzio makazini ...Ukiwa mbeya kukosanisha watu....
klorokwini JF-Expert Member Dec 2, 2009 8,648 5,139 Mar 2, 2012 #48 Hawa walochangia sredi hii kama wangepewa kazi ya umalaika tungekuwa na laana dunia nzima. Yaani hapa ukicheka umelembewa laana.
Hawa walochangia sredi hii kama wangepewa kazi ya umalaika tungekuwa na laana dunia nzima. Yaani hapa ukicheka umelembewa laana.
Mtalingolo JF-Expert Member Aug 4, 2011 2,181 409 Mar 2, 2012 #49 Kuuliza BLUE BAND kwenye duka la SPARE za gari..
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Mar 2, 2012 Thread starter #50 mambo said: Mkuu wangu Exellent itabidi niandamane. Click to expand... itabidi uandamane kweli
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Mar 2, 2012 Thread starter #51 Mtalingolo said: Kuuliza BLUE BAND kwenye duka la SPARE za gari.. Click to expand... labda anazuga
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Mar 2, 2012 Thread starter #52 klorokwini said: Hawa walochangia sredi hii kama wangepewa kazi ya umalaika tungekuwa na laana dunia nzima. Yaani hapa ukicheka umelembewa laana. Click to expand... inaonekana ni watakatifu lawyer
klorokwini said: Hawa walochangia sredi hii kama wangepewa kazi ya umalaika tungekuwa na laana dunia nzima. Yaani hapa ukicheka umelembewa laana. Click to expand... inaonekana ni watakatifu lawyer
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Mar 2, 2012 Thread starter #53 FirstLady1 said: ...Ukiwa mnoko kuchongea wenzio makazini ...Ukiwa mbeya kukosanisha watu.... Click to expand... ukiwa na majungu kibao
FirstLady1 said: ...Ukiwa mnoko kuchongea wenzio makazini ...Ukiwa mbeya kukosanisha watu.... Click to expand... ukiwa na majungu kibao
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Mar 2, 2012 Thread starter #54 Rev Fr KABOKA mchizi said: Kama hujaanza kulipa HESLB wakati umeajiriwa/kujiajiri.. Click to expand... Hiyo kweli mkuu,haiwezekani umemaliza chuo miaka 10 zilizopita hata hujaanza kurejesha mkopo
Rev Fr KABOKA mchizi said: Kama hujaanza kulipa HESLB wakati umeajiriwa/kujiajiri.. Click to expand... Hiyo kweli mkuu,haiwezekani umemaliza chuo miaka 10 zilizopita hata hujaanza kurejesha mkopo
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Mar 2, 2012 Thread starter #55 Bishanga said: Mmmmmmhhhhh saw a wakuu,naona mipweint yote inanihusu,hay a bana kwa raha zenu! Click to expand... mkuu ushawahi fumaniwa?dah,isiwe na mke wa mtu
Bishanga said: Mmmmmmhhhhh saw a wakuu,naona mipweint yote inanihusu,hay a bana kwa raha zenu! Click to expand... mkuu ushawahi fumaniwa?dah,isiwe na mke wa mtu
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Mar 2, 2012 #56 Johnson2012 said: ukiwa shabiki wa Mashetani Click to expand... hii kama inauhusiano na ile ya arsenal pale juu lazima yawe mashetani mekundu hayo..
Johnson2012 said: ukiwa shabiki wa Mashetani Click to expand... hii kama inauhusiano na ile ya arsenal pale juu lazima yawe mashetani mekundu hayo..
doctorz JF-Expert Member Aug 10, 2010 916 228 Mar 2, 2012 #57 Ukiwa una mwamvuli halafu una rowa kwa mvua.
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Mar 2, 2012 Thread starter #58 ndetichia said: hii kama inauhusiano na ile ya arsenal pale juu lazima yawe mashetani mekundu hayo.. Click to expand... teh teh teh sikuelewa vizuri,nilidhani mashetani hasa kumbe ana maana yake
ndetichia said: hii kama inauhusiano na ile ya arsenal pale juu lazima yawe mashetani mekundu hayo.. Click to expand... teh teh teh sikuelewa vizuri,nilidhani mashetani hasa kumbe ana maana yake
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Mar 2, 2012 Thread starter #59 doctorz said: Ukiwa una mwamvuli halafu una rowa kwa mvua. Click to expand... uko kwenye ajira miaka 30 halafu bado unapanga chumba
doctorz said: Ukiwa una mwamvuli halafu una rowa kwa mvua. Click to expand... uko kwenye ajira miaka 30 halafu bado unapanga chumba
klorokwini JF-Expert Member Dec 2, 2009 8,648 5,139 Mar 2, 2012 #60 Laana mwanamke anavaa viskin jeans halaf ana vimiguu kama waya za tanesco