Unatoka kupima ukimwi majibu negative unatoka nje unaruka kwa furaha unagongwa na gari una kufa hapohapo!
Wewe Jibaba/Jimama zima unapewa shkamoo,
unaipotezea!
"Oooh we mtoto unataka kun'nyima nini ? Mamboo! ? "
Laanakum tu!
Akitoa shkamoo mtoto wa kike kwa mdingi kijana inajibiwa "safi" au "asante" then anaambiwa "una heshma sana binti mrembo, una huruma pia?". Lol, mjini sio magorofa tu!
teh teh teh ebu zitaje hizo 9,10,11
kumbe hata huruma ni laana
Wewe Jibaba/Jimama zima unapewa shkamoo,
unaipotezea!
"Oooh we mtoto unataka kun'nyima nini ? Mamboo! ? "
Laanakum tu!
ila sometimes kuhurumiwa ni raha ila ile huruma isiyo ya laana
Kujiunga JF tokea 2007 na 2008 halafu bado hujapata uprimium member!! ........
MP.