Nteko Vano
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 434
- 111
Pia unaweza kufuga Samaki bwawa la Chumvi. Kuna samaki wa maji chumvi ambao wanafugwa kama vile kambamiti (prawns), koazi (milkfish), perege wa maji chumvi. Hawa ndio kwa sasa wanafuga hapa nchini.
Ila nimefuatilia nchi nyingine wana teknolojia ya kufuga zaidi ya hao kama vile samaki chewa, tuna. Kwa ushauri zaidi nenda wizara ya mifugo na uvuvi kuna idara ya ufugaji samaki.
Ila nimefuatilia nchi nyingine wana teknolojia ya kufuga zaidi ya hao kama vile samaki chewa, tuna. Kwa ushauri zaidi nenda wizara ya mifugo na uvuvi kuna idara ya ufugaji samaki.