BwanaSamaki012
Member
- Jan 13, 2023
- 92
- 99
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 taaluma yangu ni ufugaji samaki kiwango cha elimu ni Diploma (Diploma in Aquaculture Technology)
Nina uzoefu wa miaka 4 kwenye hii industry nimefanya kazi katika miradi kadhaa katika mikoa ya Pwani, Shinyanga, Mwanza na Tabora. Kwa sasa nimejikita kama mshauli (fish farming consultant)
Nipende kutumia jukwaa hili kukutanishwa/kumtafuta mtu au watu wemwenye uhitaji wa mtaalamu ufugaji samaki iwe ni kwa ajili ya kupata muongozo wa kitaalamu juu ya ufugaji samaki kibiashara, usimamizi wa miradi, kufanyiwa survey, kuzalisha vifaranga (Sato na Kambale) na mambo yote yanayo husiana na ufugaji samaki
Au naomba nipate mtu ambaye anataka kuboresha au kutanua mradi wake kwa kuongeza mradi wa ufugaji samaki, au kama kuna mtu alikuwa akifuga samaki kimazoea nashauli unitumie mimi kufanya ufugaji wa samaki kisasa
Mbali na taaluma yangu mimi pia ni kijana mpambanaji ambayenaweza kufanya kazi yoyote nje ya taaluma yangu, mimi ni mbunifu, mwenye nidhamu, ninayejutuma, mwenye mawazo chanya na pia nafundishika kwa haraka
Uzoefu na sifa za ziada
• Uzoefu katika mauzo na masoko
• Kuandika na kuongea Kiingereza kwa ufasaha
• Niko vizuri kwenye matumizi ya computer
• Leseni ya udereva
• Kusimamia miradi midogo na miradi ya kati
Kwa yoyote ambaye anaona anaweza kunitumia katika shughuli zake ambaozo ziko ndani au zile ambazo ziko nje ya taaluma yangu karibu PM tujadili
Nina utayari wa kufanya kazi Mkoa na Wilaya yoyote ndani na hata nje ya Tanzania
Call/WhatsApp: +255758779170
Ahsante 🙏
Nina uzoefu wa miaka 4 kwenye hii industry nimefanya kazi katika miradi kadhaa katika mikoa ya Pwani, Shinyanga, Mwanza na Tabora. Kwa sasa nimejikita kama mshauli (fish farming consultant)
Nipende kutumia jukwaa hili kukutanishwa/kumtafuta mtu au watu wemwenye uhitaji wa mtaalamu ufugaji samaki iwe ni kwa ajili ya kupata muongozo wa kitaalamu juu ya ufugaji samaki kibiashara, usimamizi wa miradi, kufanyiwa survey, kuzalisha vifaranga (Sato na Kambale) na mambo yote yanayo husiana na ufugaji samaki
Au naomba nipate mtu ambaye anataka kuboresha au kutanua mradi wake kwa kuongeza mradi wa ufugaji samaki, au kama kuna mtu alikuwa akifuga samaki kimazoea nashauli unitumie mimi kufanya ufugaji wa samaki kisasa
Mbali na taaluma yangu mimi pia ni kijana mpambanaji ambayenaweza kufanya kazi yoyote nje ya taaluma yangu, mimi ni mbunifu, mwenye nidhamu, ninayejutuma, mwenye mawazo chanya na pia nafundishika kwa haraka
Uzoefu na sifa za ziada
• Uzoefu katika mauzo na masoko
• Kuandika na kuongea Kiingereza kwa ufasaha
• Niko vizuri kwenye matumizi ya computer
• Leseni ya udereva
• Kusimamia miradi midogo na miradi ya kati
Kwa yoyote ambaye anaona anaweza kunitumia katika shughuli zake ambaozo ziko ndani au zile ambazo ziko nje ya taaluma yangu karibu PM tujadili
Nina utayari wa kufanya kazi Mkoa na Wilaya yoyote ndani na hata nje ya Tanzania
Call/WhatsApp: +255758779170
Ahsante 🙏