samoramsouth
Senior Member
- Jan 16, 2011
- 191
- 30
Hata kwa huyu mwandosya?
Kama ni hivi hakuna waziri aliye salama katika serikali ya ******,.
Kuna wakati nafikiria kuwa hawa jamaa wa ccm na liserikali lao wana ajenda ya siri ya kuupukutisha uchumi na rasilimali za watanzania ili chadema/ cuf/ tlp/ nccr itakapotwaa nchi basi isiwe na baho, i don't think kama niko sahihi.
Yaani kila wizara ina madudu. Alafu huyo wanayemwita rais yupo yupo tu kama hayupo.
Watanzania wake up.
Nawaomba wanajamiiforums kusambaza habari hata kwa wale wasioweza kuzifikia. Naamini wengi wetu ni wenyeji wa mikoani hususani vijijini ''information is power''
nahitaji kupata mafunzo ya kujilipua ili niweke historia..................kwanini kama nyumba inateketea baba hachukui hatua? Au hatuna baba, au tumekosa baba jasiri,
nathubutu kusema baba amekosa mwlekeo, hana dira..................... Twahitaji mbadala.
Kama ni hivi hakuna waziri aliye salama katika serikali ya ******,.
Kuna wakati nafikiria kuwa hawa jamaa wa ccm na liserikali lao wana ajenda ya siri ya kuupukutisha uchumi na rasilimali za watanzania ili chadema/ cuf/ tlp/ nccr itakapotwaa nchi basi isiwe na baho, i don't think kama niko sahihi.
Yaani kila wizara ina madudu. Alafu huyo wanayemwita rais yupo yupo tu kama hayupo.
Watanzania wake up.
Nawaomba wanajamiiforums kusambaza habari hata kwa wale wasioweza kuzifikia. Naamini wengi wetu ni wenyeji wa mikoani hususani vijijini ''information is power''
nahitaji kupata mafunzo ya kujilipua ili niweke historia..................kwanini kama nyumba inateketea baba hachukui hatua? Au hatuna baba, au tumekosa baba jasiri,
nathubutu kusema baba amekosa mwlekeo, hana dira..................... Twahitaji mbadala.