bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
-Ni baada ya kubandika majina mengine ya watu 22 ambao kesho wanatakiwa kwenda kuchukua barua za kurudi nyumbani,ukiachia mbali wale 12 waliopewa barua lastly week na hali kesi zao mahakamani hazijafutwa na hakuna mategemeo ya kufutwa hivyo Jumla yao wote ni 34.
Mbao zote za matangazo usiku huu zimejaa tangazo la kukutana revolution square kesho saa saba mchana kwa ajili ya kutokubaliana na hilo.
Mbao zote za matangazo usiku huu zimejaa tangazo la kukutana revolution square kesho saa saba mchana kwa ajili ya kutokubaliana na hilo.