Pilitoni
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 1,190
- 497
Mnanikera mnapochanganya lugha.Chagua moja,ama kiingereza au kiswahili.Watanzania tunakuwa dhaifu ktk lugha kutokana na hilo ILA UDOM bado kabisa jamani.UDSM ni chuo bora si TZ tu bali Afrika mashariki na Afrika.Kama elimu ni majengo,basi Udom ni chuo bora!