COURTESY
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 2,006
- 706
hahahahahahahahahaha uwiiiiiiiiii
nyie ndio mnaofanya udom idharauliwe kutokana na thread za kitoto kama hizi...kuandika kwenye kunakusumbua hadi inatia shaka umefikaje fikaje hapo.
Hebu nenda kwenye mgomo wenu na utuondolee ujinga wako hapa.