kwani walisema documents ziwe certified? sijaona hilo sharti kwenye tangazo laommeomba wengi sana, sasa hivi zinachambuliwa kupunguza watu, wale walioweka documents ambazo hazikubaliw kama umetuma vyeti ambavyo havijathibitishwa na wakili au mahakama. Pickup na magunia ilitumika kubeba hizo application zenu.
kwani walisema documents ziwe certified? sijaona hilo sharti kwenye tangazo lao
poa wadau tupo wengi tulioomba but mi nilicertify chet kimoja tu kukwepa gharama ee Mungu nikumbuke muja wako
mmeomba wengi sana, sasa hivi zinachambuliwa kupunguza watu, wale walioweka documents ambazo hazikubaliw kama umetuma vyeti ambavyo havijathibitishwa na wakili au mahakama. Pickup na magunia ilitumika kubeba hizo application zenu.
wewe hilo sharti lipo na kama hujaweka jihesabie umetemwa maana zilikuwa zinatafutwa sababu za kupunguza we nafasi chache application maelfu, kha !labda omba ukikesha na ukiona jina lako limekuwa shortlisted mshukuru mungu. Anyway pole sana
kha!certification ya cheti kipi?ingawa kila ulichoattach kilitakuwa kuwacertified. Unaweza kupata zali mkuu. Na cover letter umeandika kwa mkono au umetype?
unajua chuo chenyewe ndo bado, watu wamewekana pale, esp mgt, kwa hiyo watu wanaamini wao ndo wanajua sana na chuo ni mali yao...eti wamewekwa na 'mkubwa' so huwatishi, asa mazingira kama hayo duh...labda kama uko upande wa academic, but kama ni mgt...huhmkuu kwani mazingira yakoje udom? mbona mnadis?
PITIA ROMAN VII HAPO NILIPOWEKA RANG YA BLUE, NENDA PIA KWENYE ORIGINAL ADVERTKatika original advert kulikua hakuna maagizo ya kuverify vyeti so umetuongopea kweupe.
hata mm namshangaa hilo sharti amelitoa wapi na wakati tangazo haalikuwa na sharti hilo
Rejeeni tangazo la UDOM nime-attach kama lilivyo kisha mjisahihishie na kuadhibiana wenyewe kila mmoja kwa kadiri ya haki yake
Rejeeni tangazo la UDOM nime-attach kama lilivyo kisha mjisahihishie na kuadhibiana wenyewe kila mmoja kwa kadiri ya haki yake