Gongagonga
Member
- Sep 22, 2009
- 25
- 1
Wizara ya Elimu inayoongozwa na Alhaj Jumanne Maghembe (MB) akisaidiwa na Hajjat Mwantum Mahiza (MB) hivi karibuni kumekuwa na malalamiko ya upendeleo hususan katika ugawaji wa Scholarship za kwenda kusoma nje. Katibu mkuu wa wizara hii ni Alhaj Khamis Dihenga
Jamaa yangu wa karibu wizarani kanitonya kuwa jamaa wana mkakati wa kusomesha vijana wao wengi iwezekanavyo eti wameonewa sana na sasa ni zamu yao.
Kimsingi hakuna tatizo waislamu kupata nafasi hizo, lakini hata kama kuna mkristo kazidi sifa bado anakatwa ili nafasi apewe muislamu hapo ndio tatizo langu lilipo.
Jamani hili taifa lnakwenda wapi sasa haya mambo kwa si ya kuya zarau kuna njama za kuisilimisha nchi hii.
Mimi namshangaa JK iweje wizara moja aweke waislamu watupu? kuna kitu kinapikwa hapa tuwe macho
Jamaa yangu wa karibu wizarani kanitonya kuwa jamaa wana mkakati wa kusomesha vijana wao wengi iwezekanavyo eti wameonewa sana na sasa ni zamu yao.
Kimsingi hakuna tatizo waislamu kupata nafasi hizo, lakini hata kama kuna mkristo kazidi sifa bado anakatwa ili nafasi apewe muislamu hapo ndio tatizo langu lilipo.
Jamani hili taifa lnakwenda wapi sasa haya mambo kwa si ya kuya zarau kuna njama za kuisilimisha nchi hii.
Mimi namshangaa JK iweje wizara moja aweke waislamu watupu? kuna kitu kinapikwa hapa tuwe macho
Last edited: