Udini Wizara ya Elimu

Status
Not open for further replies.
Mkuu hebu njoo na data vyenginevyo hatukuelewi. Tatizo lenu wakatoliki mnaona kwamba nyinyi ndio mna haki ya kila kitu. Na naamini mnayoyaficha nyoyoni ni makubwa zaidi kwenu nyinyi waislamu ni watu wa daraja la pili na hawafai kuwa viongozi na ndio maana makala kama hizi zinazopalilia chuki hatuzishangai
 
Lakini mbona Gudensia Kabaka ni Mkristo? Ila kweli tunatakiwa tuwe waangalifu kwani hata utumishiyupo Hawa Ghasia
 
jumalesso said:
Mkuu hebu njoo na data vyenginevyo hatukuelewi. Tatizo lenu wakatoliki mnaona kwamba nyinyi ndio mna haki ya kila kitu. Na naamini mnayoyaficha nyoyoni ni makubwa zaidi kwenu nyinyi waislamu ni watu wa daraja la pili na hawafai kuwa viongozi na ndio maana makala kama hizi zinazopalilia chuki hatuzishangai

Mmeishiwa hamna lolote.mbona hamkusema kitu wakati wa mkapa wakati wakuu wa mikoa walikuwa wawili tu waislam.ukiona mtu analalamikia udini yeye ndio mdini zaidi.Hamtaki kuongozwa na muislam kwa sababu mnafundishwa makanisani hivyo.mmezoea kuwaburuza waislam na favour kutoka serikalini sasa zimepunguzwa mnaanza kulalamika.

Wewe ni mtu yuleyule, tena kwa bahti mbaya una sifa za mpumbavu kama akina Miss Ngoda, unataka kutuyeyusha na hizi pumba zako through and through.

ATI na wewe ni great thinker? Shame!
 
Ungeweka basi na majina ya waislamu waliokatwa na namba zao za simu kama ulivyofanya kwa hao wengine. Halafu idadi ya digrii ulizonazo siyo kigezo muhimu sana. Kama ingekuwa hivyo basi kazi zote angechukuwa TUNTEMEKE SANGA, si mnakumbuka alikuwa na digrii saba..??????!!!! Vile vile hayo majina unaweza ukawa umeyapika tuu. Ushahidi mzuri ni scaned copy ya original tangazo, kwa jinsi ulivyofanya hapo "is not a proof beyond reasonable dought". Inawezekana umefanya usekretari wako wa kutaipu na kutuwekea hapa JF.

Nijuavyo mimi HR kachagua hao watu kwa kuangalia experience na shule zao,sio possession ya vyeti tu. Unaweza ukawa na vyeti lakini mwenzio ana experience ya kile wanachokihitaji, wakuchukue tu sababu ya kubalance dini????? Huyo atakaefanya hivyo hatakua HR mzuri. HR mzuri anamatch sifa za mtu na mahitaji ya organization,period!
 
Hapa JF sasa naona ishu yoyote ile inajadiliwa bila ya kua na facts mtu anasikia kitu anakileta bila kua na data kamili ndo maana watu wanachangia kutokana na kile kilicho andikwa tu... kama jana kuna mtu kaleta thread kua "wananchi wa segera wafunga barabara kwa sababu wamesikia vibanda vyao vitavunjwa na eneo ameuziwa muwekezaji" hapo watu wakachangia sana na kulaumu serikali kwa nn iuze eneo? kumbe ukweli ni kwamba eneo lile ni road reserve hajauziwa mtu ila barabara ina panuliwa. Sasa kwenye ishu kama izi tujaribu kujadili habari zilizokuwa na ukweli unless mleta mada atakua ameeandika kua habari hii ni Tetesi hapo michango mabalimbali kutolewa ni sawa kwani hakuna mwenye uhakika!!
 
Huu ni upuuzi sijawahi kusikia... leo hii mtu anatuhumu waislamu kujipendelea... Wamesahau waislamu walipokuwa wakiuliza nafasi za elimu (hasa katika mikoa ambayo waislamu wengi majibu yalikuwa eti hawataki kusoma (kizungu) wanang'ang'ania kusoma kiarabu. Zipo wizara kadhaa zilizokuwa na viongozi wote ambao si waislamu na pengine wakutoka mkoa au wilaya moja lakini hakuna anaeuliza.

Kama wenzangu ni wadogo wa umri kama mimi, ulizeni historia wakati waziri wa elimu ikiongozwa na Eliufoo nini kilitokea? Na kwa miaka mingapi wasio waislam wameongoza ile wizara lakni ikiulizwa walikuwa wanajibiwa hilo si suala bali wana uwezo, na wengine walidai pia hakuna waislam waliosoma kupewa nafasi hizo. Hii ilikuwa miaka michache tu iliopita, wakati tayari Prof Alhaj Hamis Dihenga na Alhaj Prof Jumanne Maghembe walikuwa maprofessor tayari... Kumbe basi, walikuwepo wasomi na yale majibu yalikuwa ya dhihaka. Au tusema kama JK kawatengeneza leo? Pengine na mimi naendeleza udini lakini serikali zilizopita hazikufanya yaa makusudi (affirmative action) kuwasaidia waislamu wapate elimu kwa kuwa historia iliwahukumu. Serikali iliwahukumu na kuwaambia ni tatizo lao hawataki elimu.Kama hamjui, kuna kitu kinaitwa kujenga demand for education. Usipompa mwananchi elimu na akabakia maskini basi kuna probability kubwa kuwa watoto wake pia hawatasoma na kwa hiyo wataendelea kuwa hivyo hivyo. Kukaa kimya bila kufanya mkakati wa makusudi kuwaendeleza waislam kwa miaka kadhaa baada ya uhuru ni sawa ni kuwafifisha.
Najua upo mkakati wa makusudi kuwaharibia viongozi waislam unaendelea chinichini. Humu kwenye mitandao wanahoji sana uwezo wa viongozi waislam bila msingi wa maana. Watu wanamchokonoa sana Dr Dau, Mh Mustafa Mkullo, na sasa Prof Dihenga, Prof Maghembe.. Huu ni upuuzi. Wamesahau kabisa!!!!
Leteni data mlinganishe wangapi waislam wamepata scholarship nao ni asilimia ngapi ya waislam wote Tanzania ukilinganisha na wengine tangu 1961 then tutaongea. Usiangalie leo tu, na usiangalie absolute namba uliosikia leo tu, hautakuwa ulinganifu wa kisomi bali malalamiko yaleyale waliokuwa wanatoa waislam kwa miaka mingi huku wakipuuzwa, na hata wakati mwingine kusababisha vurugu. Tufanye upembuzi wa kina.
JK hakuchaguliwa kwa sababu ya uislam isipokuwa CCM hawakuwa na mtu mwingine aliekuwa na uwezo wa kuwaletea ushindi, muislam or otherwise! Sasa leo kadi ya uislam inataka kutumika kumtoa mwakani. Haya, tutaona... Lakini hata akishindwa, jamani tusitumie kadi ya dini yake, ni hatari sana!!!
 
Bottom line: Wahusika waelewe the society is skeptic and very sensitive. Any ill will against any sect of the society will be detected. Point information.
 
Majuma machache yaliyopita kuna mtu alihoji usomi wa Mh Mustafa Mkullo... eti kapataje MBA bila kuwa na bachelor degree.. Naunganisha ni upuuzi uleule kuwa watu hawaamini muislam anaweza kuwa msomi!!! Au ni ujinga wa kutojua mifumo ya elimu na mafunzo duniani inaendaje... Nitaitafuta hiyo article na nitaileta hapa kuiunganisha na kuijibu pamoja na hii nyingine
 
Majuma machache yaliyopita kuna mtu alihoji usomi wa Mh Mustafa Mkullo... eti kapataje MBA bila kuwa na bachelor degree.. Naunganisha ni upuuzi uleule kuwa watu hawaamini muislam anaweza kuwa msomi!!! Au ni ujinga wa kutojua mifumo ya elimu na mafunzo duniani inaendaje... Nitaitafuta hiyo article na nitaileta hapa kuiunganisha na kuijibu pamoja na hii nyingine

Hold on kwanza Diva. Hapa you are getting emotional. Una ushahidi gani watu wanadhani muislamu hawezi kuongoza? Je Mkullo ni kihio or not? Na je viongozi wanao tuhumiwa kuwa na elimu feki ni wakiislamu pekee? Una taka kusema hakuna viongozi wa Kikristo ambao elimu zao zime hojiwa?
 
Wizara ya Elimu inayoongozwa na Alhaj Jumanne Maghembe (MB) akisaidiwa na Hajjat Mwantum Mahiza (MB) hivi karibuni kumekuwa na malalamiko ya upendeleo hususan katika ugawaji wa Scholarship za kwenda kusoma nje. Katibu mkuu wa wizara hii ni Alhaj Khamis Dihenga

Jamaa yangu wa karibu wizarani kanitonya kuwa jamaa wana mkakati wa kusomesha vijana wao wengi iwezekanavyo eti wameonewa sana na sasa ni zamu yao.

Kimsingi hakuna tatizo waislamu kupata nafasi hizo, lakini hata kama kuna mkristo kazidi sifa bado anakatwa ili nafasi apewe muislamu hapo ndio tatizo langu lilipo.

Jamani hili taifa lnakwenda wapi sasa haya mambo kwa si ya kuya zarau kuna njama za kuisilimisha nchi hii. ANS: Yaani waislam wakisoma itakuwa kuisilimisha nchi? na wasiokuwa waislam wakisoma sana itakuaje?

Mimi namshangaa JK iweje wizara moja aweke waislamu watupu? kuna kitu kinapikwa hapa tuwe macho
ANS: Umefanya antithesis? Yaani umeangalia ulinganifu wa dini za viongozi wa wizara zingine au unashangaa wizara ya elimu tu???
 
Mkuu hebu njoo na data vyenginevyo hatukuelewi. Tatizo lenu wakatoliki mnaona kwamba nyinyi ndio mna haki ya kila kitu. Na naamini mnayoyaficha nyoyoni ni makubwa zaidi kwenu nyinyi waislamu ni watu wa daraja la pili na hawafai kuwa viongozi na ndio maana makala kama hizi zinazopalilia chuki hatuzishangai

Acha jazba mkuu una ushahidi muanzisha mada ni mkatoliki? Na hata kama akiwa mkatoliki kwa nini una generaliza dhehebu zima kutokana na mtu mmoja na thread yake moja?
 
Nashukuru baadhi ya members ambao wametumia upeo na akili kuomba data. Ila ina sikitisha baadhi ya watu kukimbilia kutetea upande mmoja kwa sababu tu dini yao imesemwa. Na hii pia inaenda kwa dini zote. Kama kuna udini kwa nini usisemwe kisa tu ni dini ya mtu fulani? Huu woga wa kujadili mambo haya na mgawanyiko unao tokana na hilo ndiyo inafanya watu wanaofanya vitendo hivi waendelee kutenda wakijua lazima wata tetewa kwa nguvu zote. Tutulize vichwa na tuliangalie swala hili logically.

Udini ni mtu na siyo dini kwa hiyo ukiona mtu wa dini yako kaitwa mdini usiichukulie kama shambulizi binafsi kwa dini yako au kwako bali jua ni tabia ya mtu binafsi ina jadiliwa.
 
Jamani tunapozungumzia mgowanyiko wa ki-imani lazima tuwe na vivid evidence na tunawache uchonganishi usiokuwa na maana. Qualification siyo vyeti na duedeligence pia inatakiwa ifanyike.
 
Acheni kuzungumza upumbavu......njooni na data hapa.
Ni wanafunzi wangapi wamepata schorlaships??????na kati yao hao
wangapi ni waislamu????????

I tend to agree with the Boss. Mara nyingi watu utoa sweeping statements ambazo hazina ukweli ndani yake. Wakati wa Hayati Nyerere akiwa Ikulu aliwai kutuhumiwa kuwapendela wakatoliki katika baraza lake la mawaziri. Akafanya tathimini na kugundua kwamba katika Baraza zima la Mawaziri (waziri kamili na naibu) zaidi ya 20 ni wawili tu walikuwa wakatoliki, hata hivyo mmoja kati ya hao wawili hakuwa Mkatoliki safi maana alikuwa na ndoa ya wake wawili!!
 
Well, Mkitaka twende hivyo hakuna matatizo kabisa.

Nyie chagueni tu Ngoma na mwimbo, nasi tuko tayari kucheza. Isitoshe sisi hatutapoteza sana.

Kwanini hatutapoteza? Kwa sababuzifuatazo:

1. Wabunge Tanzania bara- 75% wakristo.

2.Ajira serikalini - 85% Wakristo

3.Wanafunzi vyuo vikuu 70% Wakristo.

Sasa hapo sisi tuna nini? Nyie chezeni mchezo, halafu muone. Mna uchaguzi, Amani au vurugu. Mkitaka amani tukae kwenye meza kujadili na kutatua hayo. Hamtaki amani tumieni magazeti, makanisa na nyaraka.

Tumechoshwa na kutishwa tishwa kwa maneno huku mkificha takwimu. Kama nyie ni ma-sinia member wekeni mambo wazi. Ninamaanisha takwimu.

Wewe pia unatumia ubongo au engine ya bajaji? unajua maana ya takwimu?
Wakati wengine wakisoma ww na wenzako mlikuwa mnavua samaki na kuzunguka na kivuli cha nyuma 360 degrees a day.
 
Wasikushughulishe hawa watu wamefilisika hawana hoja. nimeuliza Scholarships hizo zimetoka lini na nani na nani wamepewa based on udini wamefeli kabisa.

Naomba nieleze Udini wa wazi wizara ya Nishati na Madini.ambapo Katibu mkuu na waziri wote wakristu wamefanya utumbo wa hali juu kwenye ajira hivi Karibuni.

Daily News la 03/06/09 waliita watu kwenye Interview kama kawaida yao wakawakaTA waislam wote, Interview hiyo ilifanyika makao makuu ya wizara ya Nishati na Madini ghorofa ya Sita chumba namba 605. Kuanzia Tarehe 15 hadi 17 june 2009.

Majina ya walioitwa kwenye Interview kama ifuatavyo.

1.INFORMATION TECHNOLOGY(IT)SPECIALIST. 15TH JUNE AT 10.00 AM

1-ABEL MOSES KASEKO BOX 1965 DSM TEL 0713 604242.

2-RAYMOND MICHAEL BOX 867 SONGEA 0713 228809.

3-SOAMES SEMBE PHARES 0719 077707.

KWENYE HIZI NAFASI ZA IT WAISLAM WALIOMBA KUNA MMOJA ANA VYETI VITANO VYA PROFESSIONAL VYA IT PAMOJA NA DIGRII YA UDSM LAKINI HAKUITWA.

2. DATA ANALYST.15 JUNE AT 01.30 PM.

1-BERNADA ERNEST 0754 393679.

2-ANDREW ABRAHAM MWANGAKALA 0774 221100. WAISLAM WAKAACHWA.NAFASI MBILI NA WAMEITA WATU WAWILI KWENYE INTERVIEW.HUU NI MCHEZO WA KUIGIZA HIVI UDINI HUU USIO NA HAYA WALA AIBU UTATUFIKISHA WAPI?

3-REPORT WRITER 15TH JUNE AT 2.30.

1-STELLA A.MWENDA BOX 80486 DSM 0767 223 387.

HAPA KUNA MUISLAM ALIKUWA ANA DIGRII YA HABARI,ANA DIPLOMA YA RELATIONS ANA CHETI CHA SHERIA NA MWANDISHI MWANDAMIZI AKATUPWA. TENA CHA AJABU NAFASI HII WAMEMWITA MTU MMOJA KWENYE NAFASI MOJA INTERVIEW YA NINI? WALIPOKOSA AIBU NDUGU ZETU HAPA WAMEWEKA MTU MMOJA TU. KWANI WAISLAM WALIOOMBA WANGEITWA KWENYE INTERVIEW MTU WAO ASINGEPATA KAZI.HR ZA HAWA WADINI WA KIKRISTU ZINAFANYA KAZI VIPI?

4.ENVIRONMENTAL SCIENTIST.16 JUNE.AT 01.30.

1.CASSIAN LUSHINDE,2-MONICA AUGUSTINO,3-NDELE MENGO.

4-EMANUEL SUMAY 5-ISSAC I. 6.ZABIBU ANDREW.

5.FINANCIAL ANALYST/AUDITOR.17TH JUNE AT 10.00 AM.

1-ZEPHANIA HENRY. 2-NURU ABDALLAHMED. 3-BHUINDA M.NASSON.

6.TAX EXPERT.17 JUNE 2009 AT 01.30

1-MABULA MABULA 2-ALBERT NGOWI 3-VENANCE BAHATI.

IMETOLEWA NA PERMANENT SECRETARY
MINISTRY OF ENERGY AND MINERALS
BOX 200,
DAR ES SALAAM.

NB NILITARAJIA MLETA UZUSHI WA WIZARA YA ELIMU ANGEKUJA NA DATA KAMA HIZI ZANGU NIMEWEKA TAREHE LINI NA WAPI HADI SIMU ZA WAHUSIKA WAPIGIENI. NI KAMA WALIVYOFANYA PUMBA OFISI YA BUNGE KUWAPA AJIRA WATU WA CHUO KIMOJA, DARASA MOJA INTAKE MOJA KWA KIGEZO CHA UKRISTU.

Kanda2
Hiki ni kituko! Unaweza kuniambia umejuaje kwamba hao waliokuwa shortlisted ni wakristo? Au kwa kuwa hawaitwi akina Mohammed, Athuman, Khamis, Ahmed, Zainab, Aziza, etc?!! Kwanini usifikiri kuwa ni waislamu au wapagani wasioamini hizo dini mbili (ukristo na uislam)? Nina rafiki zangu wengi wenye majina ya "kizungu" (English names) na wenye majina ya kiarabu (Arabic names) ambao ni Atheists, kwa watu kama utakuwa hujawatendea haki kuwapandikizia dini wasizoamini kama ulivyofanya hapo juu! Nafikiri ni vema ukaomba radhi kwani naamini kwa 100% hauwajui hao watu na ulichofanya ni kinyume na misingi ya dini yoyote unayoamini wewe!
 
I tend to agree with the Boss. Mara nyingi watu utoa sweeping statements ambazo hazina ukweli ndani yake. Wakati wa Hayati Nyerere akiwa Ikulu aliwai kutuhumiwa kuwapendela wakatoliki katika baraza lake la mawaziri. Akafanya tathimini na kugundua kwamba katika Baraza zima la Mawaziri (waziri kamili na naibu) zaidi ya 20 ni wawili tu walikuwa wakatoliki, hata hivyo mmoja kati ya hao wawili hakuwa Mkatoliki safi maana alikuwa na ndoa ya wake wawili!!

Byasel,

Spot on! I hate such sweeping statements. Mfano mtu anakuja na majina ya watu asiowajua na kuclaim kwamba ni waislam au wakristo based on the names! Tuna watu wengi sana wana majina ya kienyeji huko bongo, unawaweka kundi gani hawa? Pia wapo wenye majina ya kizungu na kiarabu ambao hawafuati hizo dini mbili, lakini sweeping statistic itakwambia kwamba kina Mohammed ni Waislam na kina John ni Wakristo (others are so dumb even to qualify them as Catholics!). Kwa logic hii yule Askofu Ramadhan kwanini asiwe muislam? Au kwanini isiwe Alhaj Tariq Aziz?
 
Last edited:
Wewe kwa sababu ya upumbavu wako unadhani kila mmoja anatumia scale yako ya kipumbavu kufanya judgement. Hakika mshenzi ni mshenzi tu hata akijua kutumia kompyuta bado ushenzi wake unabaki palepale, tena pengine unaweza kufikia hatua mbaya zaidi.

Hoja yangu huielewi na hutoielewa mpaka utakapokaa kitako na kuukumbatia ustaarabu. Hoja yangu ipo straightforward kuwa uwiano wa dini sio lengo la serikali maana dini sio QUALIFICATION ya AJIRA. Hili hulioni kwa sababu u mpumbavu. Tena wa grade A au first class.

Mpumbavu anaangalia mambo kupumbavu na hivi ndivyo mpumbavu anavyotarajiwa a-behave. ENdelea hivyohivyo kuwa mpumbavu maana ndivyo inavyokufaa.
Unahitaji kujiweka katika Ignore list. Wafahamu Kwanini unakuja na Jazba? Kwasababu umejigundua kuwa mkosefu pamoja na wakristo wenzako kwa kuwa wadini No 1. Sasa ngoja nikufungue akili.

Suala la kuinua wanawake ni ajenda ya kisiasa. Leo hii katika Afrika mashariki kuna uwiano ufuatao katika Bunge:

Uganda 30.7% ya wabunge niwanawake.

Kenya 9.8% ya wabunge ni wanawake.

Tanzania 30.4% ya wabunge ni wanawake.

Kwa maneno yako unataka kusema kuwa wanawake wa Kenya ndio wasio na qualification na akili ya kuwa wabunge kuliko Uganda na Kenya?

Unajua nitakusaidia kitu kimoja, Soma kitabu cha PEACE AND WAR kilichoandikwa na Prof Abraham Stewart. Utaelewa ni wakati gani mwananchi anashindwa kuvumilia na kuamua kutumia vurugu kama njia pekee yakuelekea katika amani ya kweli. Utafiti wake ulizingatia maendeleo ya kutoka katika Amani, Vita mpaka Amani huko Kosovo.

La mwisho soma vile vile Ripoti ya Wamarekani Kuhusu uwiano wa ajira katika serikali ya Tanzania ulioletw hapa JF na # Najua hutasoma, ngoja ninukuu kidogo shemu muhimu. "Fr. Peter Smith (1992) acknowledges that Muslims lag far behind in education. A similar observation is made by Professor Malekela (1993:26). Malekela (1983) found that 78.5 per cent of secondary students were Christian and only 18.6 per cent Muslim. Likewise the 1994 US Report on Human Rights in Tanzania acknowledges the significant disadvantages facing Muslims in education and employment. It also notes the existence of widespread Muslim resentment in the country. More importantly however, the Report says religious imbalances in Tanzania are a result of historical circumstances rather than deliberate discrimination (US Department of State, 1995).
Available historical evidence, both past and present, would seem to contradict the popular belief that Muslims hate or fear education. It is certainly true that in the past Muslims rejected, as they continue to reject today, the Christian principle of using diakonia (services like education and health) as means of evangelisation. People should enter into Christianity out of conviction and faith in the Word of God, not as a condition of getting food, clothing, medical treatment or education. I believe Christians would have reacted in a similar fashion were they to find themselves in a situation where educational institutions served as instruments of Islamisation. In fact recently Christian Members of Parliament took to task the Minister for National Education and Culture, Professor Juma Kapuya (a Muslim) for enforcing a long-standing government secular which allowed Muslim students to put on head scarfs. He was accused of harbouring a secret agenda of Islamising public schools, although Christian nuns have been doing so since colonial times!"

Ukiona wamarekani wanaanza kuandika hayo ujue wameshaona moshi utokeako. Nyie laleni tu na kutumia kalamu vibaya bila kufahamu ni nani aliyeleta amani hii kwa kuvumilia kuitwa mjinga kwa miaka zaidi ya 40.

Tafadhali isome vizuri hii na uielewe. Usikurupuke!

Kikubwa ninachotaka kukueleza ni kwamba, matakwa ya waislam Tanzania hayangoji eti mpaka aje Rais mwiislam. Yeyote atakaye kuwa Rais madai yetu yapo pale pale. Hivyo wale wenye dhana kuwa eti tuchague Rais mkristo ndio hawatatekelezewa mambo yao, Wanajidanganya.

Kumbuka aliyeionja Demokrasia harudi nyuma kamwe. Demokrasia yetu imewapa tabu sana wakristo waliozoea Unyerere (autocrat regime). Kwanza walifikiri Democrasia itaua uislam kwa kuruhusu picha za Holly wood mchana wa saa5. Hali haikuwa hivyo, na madai mengi ya waislam yamepitia kidemokrasia na kushinda.
 
Haika nakubaliana na wewe kwa % 100. Utezi wa JK wowote ule ni waislamu. Sijui kama kweli hao watu wote wanasifa za uongozi au anaokota tu ilimradi waislam.
 
Unahitaji kujiweka katika Ignore list. Wafahamu Kwanini unakuja na Jazba? Kwasababu umejigundua kuwa mkosefu pamoja na wakristo wenzako kwa kuwa wadini No 1. Sasa ngoja nikufungue akili.

Suala la kuinua wanawake ni ajenda ya kisiasa. Leo hii katika Afrika mashariki kuna uwiano ufuatao katika Bunge:

Uganda 30.7% ya wabunge niwanawake.

Kenya 9.8% ya wabunge ni wanawake.

Tanzania 30.4% ya wabunge ni wanawake.

Kwa maneno yako unataka kusema kuwa wanawake wa Kenya ndio wasio na qualification na akili ya kuwa wabunge kuliko Uganda na Kenya?

Huna uwezo wa kunifungua akili, maana akili yangu ni angavu kuliko maji, mwenye kuhitaji kuifungua akili yako nadhani wasomaji wameshamjua ni nani. Yours truly, moi!

Hapa unakuja na hadith zako za alfu lela ulela eti asilimia za wanawake tena wabunge! Nina wasiwasi mkubwa wa kukufunza mtu mpumbavu kama wewe unaye-negate maarifa. Nasikitika tafuta wa ligi yako wenye akili peanut mbadilishane mawazo.
 
Last edited:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom