mzanganyika
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 257
- 6
Wasiwasi wa bure tu.
Nji hii hakuna Wakristo safi ama Waislamu safi wa kutosha ambao wanaweza kuwa na agenda ya kujipendelea kwa hiyo siamini kama wapo wenye sifa za kuwa na agenda na kidini.
Kwanza dini zenyewe haziruhusu kujipendelea katika uongozi kwa mizingi ya dini.
kama kweli nchi hii ingekuwa na viongozi amabao dini zipo ndani ya nyoyo zao tusingekuwa na ufisadi wa kutisha kiasi hiki.
Nji hii hakuna Wakristo safi ama Waislamu safi wa kutosha ambao wanaweza kuwa na agenda ya kujipendelea kwa hiyo siamini kama wapo wenye sifa za kuwa na agenda na kidini.
Kwanza dini zenyewe haziruhusu kujipendelea katika uongozi kwa mizingi ya dini.
kama kweli nchi hii ingekuwa na viongozi amabao dini zipo ndani ya nyoyo zao tusingekuwa na ufisadi wa kutisha kiasi hiki.