Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,462
- 4,364
Tatizo ni kwamba CCM wenyewe ndiyo waanzilishi wa siasa za kupakana matope ya udini na undugu. Walifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuichafua CUF eti kwakuwa viongozi wengi ni Waislamu wakakiita chama cha Kiislamu. Wakaja kwa CHADEMA wakadai ni chama cha kikabila na Kikristo. Hawakujua kuwa wanafanya siasa chafu, isiyo na msingi tena inayoweza kuwageukia. Sasa yanayotokea ndiyo haya, ni haki kulisema hili ili wajue ubaya wa siasa za uzushi na ubaguzi.