Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
- Thread starter
- #41
Mimi nimeuliza isitoshe hiyo orodha ni ya wale walioteuliwa jana na NEC CCM si orodha ya zamani ya kina Msekwa na wenzake labda kama una orodha nyingine ya walioteuliwa hivi karibuni na NEC CCM tunaiombaNi vema ungetoa Orodha ya Viongozi wote badala ya kutumia mfano wa wachache hawa kisha kutoa tuhuma za Udini ndani ya CCM......Hivi watu kama Pius Msekwa,John Chiligati,Amos Makalla,Bernard Membe(Wajumbe wa Skretariat ambayo ndo safu ya uongozi wa juu wa CCM ni waislamu??),au watu kama Martin Shigella,Beno Malissa(UVCCM) n.k ni Waislamu???????.........