Discory
Member
- Aug 10, 2012
- 62
- 6
- Uamsho na Fujo za Waislam nchi nzima ya Tanzania, Mauaji ya Police nani yupo juu ya Sheria
Familia yeyote ile ambayo Baba hakai nyumbani ni Lazma kila Mtoto awe na Tabia yake maana hakuna wa kumwambia lipi zuri ama lipi jema
Taifa kama Tanzania limepoteza Mvuto na Sifa ya Amani kama linavyojulikana Duniani....
Tunaona Mengi mabaya zaidi ya haya ambayo tayari yalishatokea Endapo Viongozi wa Nch...i hawata amka na kuongea lolote Mapema
Kama mmeona jana, Rais anarudi nyumbani anakuta fujo mbele ya geti la Ikulu je, nani alijua Dhamira ya Huyu Raia aliyepenya akiwa na nguo za kiislam mfukoni alipo karibia geti la Ikulu ndo akavaa? je, kama ndani ya huo mfuko kulikuwa na grunet la kujitoa mhanga Tukampoteza Rais wetu ingekuwaje?
Tunajua wazi kuwa Serikali Haina Dini sasa kwanini wanashindwa kukemea huu uovu? Kuna Agenda gani ya Siri hapa?
''We need to Oversight''
See More
Like ·
-
Write a comment...
-
- Recent Posts by Others on OversightSee All:thinking: