tatizo wamekuwa wakipuuza waislam na madai yao.
Acha waipate sasa.
acha kuwa na fikra mgando! mna madai gani nyie?? Jana mmeipata fresh! kipigo cha paka mwizi! chezea mfumo kristo eeeeh!
tatizo wamekuwa wakipuuza waislam na madai yao.
Acha waipate sasa.
- Uamsho na Fujo za Waislam nchi nzima ya Tanzania, Mauaji ya Police nani yupo juu ya Sheria
Familia yeyote ile ambayo Baba hakai nyumbani ni Lazma kila Mtoto awe na Tabia yake maana hakuna wa kumwambia lipi zuri ama lipi jema
Taifa kama Tanzania limepoteza Mvuto na Sifa ya Amani kama linavyojulikana Duniani....
Tunaona Mengi mabaya zaidi ya haya ambayo tayari yalishatokea Endapo Viongozi wa Nch...i hawata amka na kuongea lolote Mapema
Kama mmeona jana, Rais anarudi nyumbani anakuta fujo mbele ya geti la Ikulu je, nani alijua Dhamira ya Huyu Raia aliyepenya akiwa na nguo za kiislam mfukoni alipo karibia geti la Ikulu ndo akavaa? je, kama ndani ya huo mfuko kulikuwa na grunet la kujitoa mhanga Tukampoteza Rais wetu ingekuwaje?
Tunajua wazi kuwa Serikali Haina Dini sasa kwanini wanashindwa kukemea huu uovu? Kuna Agenda gani ya Siri hapa?
''We need to Oversight''
See More
Like ·
Write a comment...
- Recent Posts by Others on OversightSee All:thinking:
Nayaheshimu mawazo yako kwa kuwa huo ni uhuru tuliopewa na mwenyezi mungu ila zikubaliani dhana yako.mimi sioni tofauti kati yao na chadema
wote wanadai haki zao wanazoziamini kwa nguvu na jazba tofauti ni mbili tu
ngoma drooo
- chadema imesajiliwa na tendwa , uamsho wamesajiliwa kama asasi ya kiraia
- chedema wapo tanganyika na wanatetea maslahi ya kanisa na uamsho wapo zenji na wanetetea maslah ya waislam
police waache udhalilishaji juu ya viongozi wa dini ya kiislam huwezi kumkamata kiongozi halafu, vinginevyo fujo hazitaisha
Hii kitu itatukosti.viongozi wetu ndio wanaoasisi haya mambo