afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,215
ur welcome:car::love::love:
ur welcome:car::love::love:
Jamani jamani mbona mie naweza lakini??
Pole michelle, wala sio tamaa, u got to keep him buizy. sio ukikutana na shoga zako basi ni soka mpaka unasahau kwamba una mume hahahMsitake kudanganya umma kuwa wanaume wanatoka nje ya ndoa kwa kuwa wake zao hawawezi himili yale wanayofanyiwa nyumba ndogo......mwanamke ni mwanamke na hawatofautiani sehemu zao za siri wala nguvu pale wanapoolewa........Ila najua kuna mambo machafu wanaaume wa kwenye ndoa wanafanya na nyumba ndogo,sasa kama ni hayo wanawake wenye ndoa kama ulimwoa kwa sababu anajipenda,ana hofu ya Mungu na wewe unampenda kweli na pengine ni mama wa watoto wako,huwezi fanya nae.kama ni yale ya kawaida tu wote wanaweza na wasioweza kama anakupenda atajitahidi kiasi cha uwezo wake......Tatizo wanaume tamaaa jamani,yani!:Cry:
ukichanganya na majukumu ya mama.. Ndani yanyumba.... ..itafikia pahala maji yatazd unga tu... Mwenyewe uta kumweka pembeni... Naha po ndo smolu hausiz wanakusaidieni!
ukichanganya na majukumu ya mama.. ndani yanyumba.... ..itafikia pahala maji yatazd unga tu... mwenyewe uta kumweka pembeni... naha po ndo smolu hausiz wanakusaidieni!
mara 5 kwa cku unaweza ww? na ndani ya hiyo mara 5 unapokea v4 v4 kw hiyo 5*4=20!! kama unaweza hii wallah we ofice yako iko kona bar.