Mbaba mrefu
Member
- Nov 18, 2023
- 69
- 51
Imekuwa ni jambo la kawaida sana sana kwenye jamii zetu sio tu Afrika hata ulaya unakuta wanawake wanapigana vikumbo kisa Mwanaume.
Either ni Mwanaume
1. Mwenye pesa
2. Handsome
3. Ana ushawishi
4. Maarufu n.k
Ila sisi wanaume pamoja na kuhonga kwetu mamilioni ya pesa Kwa ajili ya wanawake wazuri wenye shape na sura mbona hatuwezi kumgombania mwanamke Incase Kuna Mwanaume anataka kumchukua?
Yaani huwezi Kuta wanaume wanapigania demu mmoja never. Kwann?
Mimi binafsi pamoja na washkaji zangu hatujawahi mgombania demu yoyote yule kama akichukuliwa poa TU tunasonga mbele na maisha mengine .
Sasa swali Kwa wanaume wenzangu hii imekaaje?
N.B picha kusindikiza Uzi hapo hazihusiani na mada 🙂
Either ni Mwanaume
1. Mwenye pesa
2. Handsome
3. Ana ushawishi
4. Maarufu n.k
Ila sisi wanaume pamoja na kuhonga kwetu mamilioni ya pesa Kwa ajili ya wanawake wazuri wenye shape na sura mbona hatuwezi kumgombania mwanamke Incase Kuna Mwanaume anataka kumchukua?
Yaani huwezi Kuta wanaume wanapigania demu mmoja never. Kwann?
Mimi binafsi pamoja na washkaji zangu hatujawahi mgombania demu yoyote yule kama akichukuliwa poa TU tunasonga mbele na maisha mengine .
Sasa swali Kwa wanaume wenzangu hii imekaaje?
N.B picha kusindikiza Uzi hapo hazihusiani na mada 🙂