KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Jambo wote wanaJF leo nimekuja tofauti kidogo na wengine japo wote ni uchakachuaji ila kwa njia tofauti mbalimbali. Kwa wataalam wa JF hakuna mwenye ujuzi wa kuchakachua hawa jamaa wa startimes na ting kwenye decoda kwa njia ya satellite? Maana ukizisearch unazinasa ila zinakuwa zimefungwa kwa VIACSSES,BETACRYPT,IRDETO mwenye maujanja ya unlock code atasaidie!!!!!!!