Uchaguzi UWT now: ni Sophia Simba Vs Anne Kilango

Wadau, mkutano wa 8 wa Umoja wa Wanawake Tanzania(CCM) ndo umeanza punde Dodoma. Moja ya vitu vya msingi leo ni uchaguzi wa mwenyekiti wa jumuiya hiyo taifa.

Mchuano mkali ni kati ya Sophia Simba na Anne Kilango. Ikumbukwe hawa walianza vita na vijembe muda mrefu na wamekuwa na tofauti za kisiasa na uhasimu wa wazi kabisa.

Suala la nani ataibuka kidedea leo linasubiriwa kwa hamu sana na wanazi wa pande zote mbili waliojipanga hasa katika kila idara kuanzia majungu,rushwa,fitna na... you know what else..

Wajumbe ndio wameingia ndani. Tusubiri.

UPDATES: SOPHIA SIMBA KASHINDA!! KAMGALAGAZA ANNE KILANGO. NI USHINDI MWINGINE KWA KAMBI YA LOWASSA..C
Who cares about those mafisadi women!!! I am not stupid joke like them. I am a patriotic Tanzanian. Why bring me this peace of Joke!!!!! Be it Kilango or Simba they can go to hell!!! but our beloved country Tanzania will be restored from them, their husbands and their chilredn to the people of Tanzania.
 
Wadau, mkutano wa 8 wa Umoja wa Wanawake Tanzania(CCM) ndo umeanza punde Dodoma. Moja ya vitu vya msingi leo ni uchaguzi wa mwenyekiti wa jumuiya hiyo taifa.

Mchuano mkali ni kati ya Sophia Simba na Anne Kilango. Ikumbukwe hawa walianza vita na vijembe muda mrefu na wamekuwa na tofauti za kisiasa na uhasimu wa wazi kabisa.

Suala la nani ataibuka kidedea leo linasubiriwa kwa hamu sana na wanazi wa pande zote mbili waliojipanga hasa katika kila idara kuanzia majungu,rushwa,fitna na... you know what else..

Wajumbe ndio wameingia ndani. Tusubiri.

UPDATES: SOPHIA SIMBA KASHINDA!! KAMGALAGAZA ANNE KILANGO. NI USHINDI MWINGINE KWA KAMBI YA LOWASSA..C
kambi ya lowasa au ya membe?
 
munkari.jpg
tuliza munkariii mama....
 
Back
Top Bottom